Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji kuruhusiwa kuvuka Croatia

Waziri mkuu wa Croatia amesema nchi yake haiwezi kuwazuia wahamiaji wanaotaka kuelekea upande wa magharibi mwa Ulaya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Croatia yaelekeza wahamiaji Slovenia

Croatia imeanza kuwaekeza maelfu ya wahamiaji kwenda kwa mpaka na Slovenia baada ya Hungary kufunga mpaka wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wapata njia mpya Croatia

Kundi la kwanza la wahamiaji limewasili nchini Croatia ,ambayo ni njia mpya ya kuelekea mataifa ya Ulaya yaliopo kaskazini ,siku moja baada ya Hungary kufunga mpaka wake na Serbia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Croatia yawaruhusu wahamiaji kuingia Hungary

Waziri Mkuu wa Coatia, Zoran Milanovic, anasema nchi yake itaendelea kuwaelekeza wakimbizi waende Hungary.

 

10 years ago

Michuzi

Wanasubiri kuvuka Barabara

Watoto ambao majina yao hayakupatikana mara moja wakiwa wamesimama kando ya Barabara ya Chang'ombe kusubiri kupungua kwa magari ili wavuke, kwenye makutano ya barabara Mandela na Chang'ombe jijini Dar es salaam leo. 

 

10 years ago

Mwananchi

Jumbe kuruhusiwa Muhimbili Jumapili

Familia ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (95), imesema inatarajia kumwombea ruhusa ya kutoka hospitali Jumapili ijayo.

 

5 years ago

CCM Blog

MGONJWA WA TATU WA CORONA APONA NA KURUHUSIWA


•    Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa  mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy  ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

M-Pesa kuvuka mipaka Afrika Mashariki

KATIKA kupanua na kuboresha wigo wa kibiashara na huduma kwa wateja wake kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, inatarajiwa kuanza kutoa huduma za M-Pesa nje ya nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba

Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza imeweka mipango kabambe kuwezesha wanafunzi wa darasa la saba watakaohitimu mwaka huu kufanya vizuri zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hakuna haja kwa wananchi wanaoishi mipakani kutumia hati ya kusafiria, badala yake vitambulisho vingine vitumike kuvuka mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani