Wahamiaji kuruhusiwa kuvuka Croatia
Waziri mkuu wa Croatia amesema nchi yake haiwezi kuwazuia wahamiaji wanaotaka kuelekea upande wa magharibi mwa Ulaya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Croatia yaelekeza wahamiaji Slovenia
Croatia imeanza kuwaekeza maelfu ya wahamiaji kwenda kwa mpaka na Slovenia baada ya Hungary kufunga mpaka wake
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Wahamiaji wapata njia mpya Croatia
Kundi la kwanza la wahamiaji limewasili nchini Croatia ,ambayo ni njia mpya ya kuelekea mataifa ya Ulaya yaliopo kaskazini ,siku moja baada ya Hungary kufunga mpaka wake na Serbia.
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Croatia yawaruhusu wahamiaji kuingia Hungary
Waziri Mkuu wa Coatia, Zoran Milanovic, anasema nchi yake itaendelea kuwaelekeza wakimbizi waende Hungary.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7ITjB0_KPJE/VTuDxNmaN6I/AAAAAAAHTIk/AtgYcaFU7BE/s72-c/DSCF9928%2Bcopy.jpg)
Wanasubiri kuvuka Barabara
![](http://1.bp.blogspot.com/-7ITjB0_KPJE/VTuDxNmaN6I/AAAAAAAHTIk/AtgYcaFU7BE/s1600/DSCF9928%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Jumbe kuruhusiwa Muhimbili Jumapili
Familia ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (95), imesema inatarajia kumwombea ruhusa ya kutoka hospitali Jumapili ijayo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XMnoj8Vb-BQ/XocaxOsfJHI/AAAAAAALl7w/xH8-OxB0vMEjckNHiVGcQhDmmqjivcoQwCLcBGAsYHQ/s72-c/CHANJO%252BPIC.jpg)
MGONJWA WA TATU WA CORONA APONA NA KURUHUSIWA
• Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
M-Pesa kuvuka mipaka Afrika Mashariki
KATIKA kupanua na kuboresha wigo wa kibiashara na huduma kwa wateja wake kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, inatarajiwa kuanza kutoa huduma za M-Pesa nje ya nchi...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Wajigamba kuvuka lengo darasa la saba
Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe, Mkoa wa Mwanza imeweka mipango kabambe kuwezesha wanafunzi wa darasa la saba watakaohitimu mwaka huu kufanya vizuri zaidi.
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hakuna haja kwa wananchi wanaoishi mipakani kutumia hati ya kusafiria, badala yake vitambulisho vingine vitumike kuvuka mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania