Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGONJWA WA TATU WA CORONA APONA NA KURUHUSIWA


•    Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa  mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy  ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mgonjwa wa tatu apona ugonjwa wa Corona na kuruhusiwa


•    Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho

Na. WAMJW-Dar es Salaam

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa  mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.

Waziri Ummy  ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...

 

5 years ago

Michuzi

MWINGINE APONA CORONA,HATUNA WAGONJWA WAPYA WA COVID19.


''Na leo pia hatuna case mpya za COVID19.  Mgonjwa wa Kagera (Ngara) amepona. Sasa jumla ya waliopona ni 3. Mgonjwa aliebaki wa Arusha vipimo vyake siku ya 9 leo ni Negative. Tutampima siku ya 14 ili kujiridhisha kama  amepona. Wagonjwa wengine 15 waliobaki wanaendelea  vizuri.

Nitumie fursa hii kuwashukuru wananchi kwa kuzingatia maelekezo ya Wataalam wa Afya ili kujikinga na Ugonjwa huu ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka. Sasa pia tuongeze nguvu ktk kuepuka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli

Watanzania wengi wanatakiwa kuhamasishwa kuhusu ugonjwa corona

 

5 years ago

Michuzi

RMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akifungua Mafunzo juu ya ugonjwa wa Corona kwa watoa huduma za afya kutoka katika vituo vya afya halmashauri ya wilaya ya Ushetu,Kahama Mji na Msalala yaliyofadhiliwa na Shirika la LifeWater International leo Alhamis Mei 7,2020 kwenye Ukumbi wa Kahama College of Health Sciences mjini Kahama. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blogMganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akiwasisitiza wataalamu wa afya kutumia taaluma yao...

 

5 years ago

CCM Blog

BIBI WA MIAKA 103 APONA CORONA, AJIPONGEZA KWA BIA


Bibi mmoja aliyejulikana kwa jina la Jennie Stejna mwenye miaka 103, amejipongeza kwa kunywa bia ya baridi iitwayo Bud Light, baada ya kupona ugonjwa wa Virusi vya Corona.Mzee huyo anapatikana Massachusetts Jijini Boston, alianza kuumwa ugonjwa huo mwanzoni mwa mwezi Mei,  kwa dalili za kukosa ladha pia na kuumwa na homa kisha kupelekwa hospitali.
Akitoa taarifa hiyo mkwe wa mjukuu wake Adam Gunn amesema, wote walikuwa wanajua tayari wanaelekea kumpoteza bibi yao,  na kuna siku aliwahi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kiungo wa Manchester Marouane Fellaini apona

Marouane Fellaini aruhusiwaameruhusiwa kuondoka hopitalini baada ya kuambikzwa virusi vya Corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile

Bi Zúñiga alikutwa na ugonjwa huo baada ya kutokea mlipuko wa maambukizi katika kituo cha kulea wazee ambacho anatunzwa.

 

5 years ago

CCM Blog

TANZANIA YATHIBITISHA KUPATA MGONJWA W CORONA

 WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amethibitisha kuwa Tanzania ina mgonjwa mmoja mwanamke (46) mwenye virusi vya Corona, aliyeingia nchini kwa ndege ya Rwandair kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea nchini Ubelgiji.
Waziri huyo ameyasema hayo leo Jumatatu Machi 16, 2020, alipokutana na waandishi wa habari katika ofisi za Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu Tafiti za Tiba (NIMRI).
Kwa mujibu wa taarifa kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MGONJWA MWINGINE WA CORONA AONGEZEKA, NI DEREVA WA LORI, SASA WAFIKIA 13

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma, alipokua akitangaza mgonjwa mpya wa ugonjwa wa Corona nchini. Kulia ni Waziri wa Afya wa Zanzibar, Hamad Rashid.Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hamad Rashid akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo katika mkutano wa pamoja na Waziri Ummy kuhusiana na idadi mpya ya wagonjwa wa Corona.
Charles James, Globu ya JamiiIDADI ya wagonjwa wenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani