MWINGINE APONA CORONA,HATUNA WAGONJWA WAPYA WA COVID19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5bD6t7pD3Z4/XocR_f-jYNI/AAAAAAALl68/hs14Bc3wRqw3WpmhR7yT_xcQ7qXbGL2bACLcBGAsYHQ/s72-c/98a5dc90-1e87-42c6-b0c4-006d484dd7f3.jpg)
''Na leo pia hatuna case mpya za COVID19. Mgonjwa wa Kagera (Ngara) amepona. Sasa jumla ya waliopona ni 3. Mgonjwa aliebaki wa Arusha vipimo vyake siku ya 9 leo ni Negative. Tutampima siku ya 14 ili kujiridhisha kama amepona. Wagonjwa wengine 15 waliobaki wanaendelea vizuri.
Nitumie fursa hii kuwashukuru wananchi kwa kuzingatia maelekezo ya Wataalam wa Afya ili kujikinga na Ugonjwa huu ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka. Sasa pia tuongeze nguvu ktk kuepuka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona:Wagonjwa wapya 15 wa corona waripotiwa Zanzibar
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 16 wa corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dLPGlaADW-w/XpbC5GNBqJI/AAAAAAALnAo/PFhiXakVTDAEtYY1q3vdHWBuacvmbKNHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-15%2Bat%2B11.08.33%2BAM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4rXCNo2Kqzw/XqlNx6Mkm3I/AAAAAAALoig/47-ElDlL2vIyoCWvcszMNsbW7Ljr7nxhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-8.jpg)
WAGONJWA WAPYA WA CORONA 196 WAONGEZEKA NCHINI
Na WAJMW-Dodoma
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametangaza ongezeko la wagonjwa wa Corona 196 nchini huku Tanzania Bara ikiwa na Wagonjwa 174 na Zanzibar wagonjwa 22 ambao walitolewa taarifa na Waziri wa Afya Wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hamad Rashid na kufanya idadi ya wagonjwa wa Corona nchini kufikia 480.
Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo wakati akigawa magari 50 ya kubebea wagonjwa kwa wabunge wa majimbo mbalimbali tukio lililofanyika leo katika ofisi ya Waziri Mkuu iliyopo...
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya corona: Wagonjwa 14 wapya wathibitishwa Tanzania
5 years ago
BBCSwahili21 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa wapya 15 wathibitishwa Kenya
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya Corona: Wagonjwa 12 wapya wathibitishwa Kenya