Mgonjwa wa tatu apona ugonjwa wa Corona na kuruhusiwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-XMnoj8Vb-BQ/XocaxOsfJHI/AAAAAAALl7w/xH8-OxB0vMEjckNHiVGcQhDmmqjivcoQwCLcBGAsYHQ/s72-c/CHANJO%252BPIC.jpg)
• Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-XMnoj8Vb-BQ/XocaxOsfJHI/AAAAAAALl7w/xH8-OxB0vMEjckNHiVGcQhDmmqjivcoQwCLcBGAsYHQ/s72-c/CHANJO%252BPIC.jpg)
MGONJWA WA TATU WA CORONA APONA NA KURUHUSIWA
• Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5bD6t7pD3Z4/XocR_f-jYNI/AAAAAAALl68/hs14Bc3wRqw3WpmhR7yT_xcQ7qXbGL2bACLcBGAsYHQ/s72-c/98a5dc90-1e87-42c6-b0c4-006d484dd7f3.jpg)
MWINGINE APONA CORONA,HATUNA WAGONJWA WAPYA WA COVID19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5bD6t7pD3Z4/XocR_f-jYNI/AAAAAAALl68/hs14Bc3wRqw3WpmhR7yT_xcQ7qXbGL2bACLcBGAsYHQ/s640/98a5dc90-1e87-42c6-b0c4-006d484dd7f3.jpg)
''Na leo pia hatuna case mpya za COVID19. Mgonjwa wa Kagera (Ngara) amepona. Sasa jumla ya waliopona ni 3. Mgonjwa aliebaki wa Arusha vipimo vyake siku ya 9 leo ni Negative. Tutampima siku ya 14 ili kujiridhisha kama amepona. Wagonjwa wengine 15 waliobaki wanaendelea vizuri.
Nitumie fursa hii kuwashukuru wananchi kwa kuzingatia maelekezo ya Wataalam wa Afya ili kujikinga na Ugonjwa huu ikiwemo kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka. Sasa pia tuongeze nguvu ktk kuepuka...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya corona: 'Kila anayekufa sio mgonjwa wa corona' asema Magufuli
5 years ago
MichuziRMO SHINYANGA : SIYO KILA MGONJWA MWENYE DALILI ZA CORONA, ANA CORONA
5 years ago
CCM Blog28 May
BIBI WA MIAKA 103 APONA CORONA, AJIPONGEZA KWA BIA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/BIBI--660x400.jpg)
Akitoa taarifa hiyo mkwe wa mjukuu wake Adam Gunn amesema, wote walikuwa wanajua tayari wanaelekea kumpoteza bibi yao, na kuna siku aliwahi...
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya Corona: Kiungo wa Manchester Marouane Fellaini apona
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile
10 years ago
Michuzi12 Aug