M-Pesa kuvuka mipaka Afrika Mashariki
KATIKA kupanua na kuboresha wigo wa kibiashara na huduma kwa wateja wake kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, inatarajiwa kuanza kutoa huduma za M-Pesa nje ya nchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Kingo avuka mipaka ya Afrika mashariki
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Nguvu ya lugha ya Kiswahili nje ya mipaka ya Afrika Mashariki
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H8T6zkn_zYY/VEOEXo1BKFI/AAAAAAAGr5o/rdUR8o3Fdjg/s72-c/download.jpg)
Airtel yazindua huduma ya kutuma na kutoa pesa Afrika Mashariki kupitia Airtel money
![](http://2.bp.blogspot.com/-H8T6zkn_zYY/VEOEXo1BKFI/AAAAAAAGr5o/rdUR8o3Fdjg/s1600/download.jpg)
Huduma hii ya kwanza barani Afrika itamwezesha Mteja wa Airtel kutuma , kupokea na kutoa pesa kutoka kwenye salio lake la Airtel Money Hatua ya awali ya huduma hii inategemea kuanza tarehe 1 November 2014 kwa kushirikisha nchi za Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda ambapo huduma hii itaweza kupatikana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Vurugu Afrika Kusini zavuka mipaka
Durban, Afrika Kusini
LICHA ya Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kulaani vurugu zinazoendelea nchini humo dhidi ya wageni (xenophobia), vurugu hizo zimezidi kupamba moto na sasa zimevuka mipaka ya nchi hiyo.
Wakati vurugu zikiendelea kwa wenyeji kuvamia na kuiba kwenye maduka ya raia wa kigeni katika hali ambayo imeonesha kama ni kulipa kisasi, raia wa Afrika Kusini wanaoishi na kufanya biashara katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe siku nzima ya jana baadhi yao wameanza kushambuliwa.
Taarifa...
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
5 years ago
CCM Blog29 Mar
NCHI 24 ZA AFRIKA ZAFUNGA MIPAKA KUZUIA KUENEA VIRUSI VYA COVID-19
![Nchi 24 za Afrika zafunga mipaka kuzuia kuenea virusi vya COVID-19](https://media.parstoday.com/image/4bv75f275e6f511mehe_800C450.jpg)