Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M-Pesa kuvuka mipaka Afrika Mashariki

KATIKA kupanua na kuboresha wigo wa kibiashara na huduma kwa wateja wake kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, inatarajiwa kuanza kutoa huduma za M-Pesa nje ya nchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kingo avuka mipaka ya Afrika mashariki

Nchini Tanzania kuna mchoraji mahiri wa vibonzo maarufu Kingo. Kingo ni kibonzo cha kuchekesha, na chenye busara katika magazeti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 30. Hivi sasa Kingo ameanza kuvuka mipaka hadi nchi jirani za Kenya, Uganda na Zambia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nguvu ya lugha ya Kiswahili nje ya mipaka ya Afrika Mashariki

Kiswahili ni lugha pekee ya Afrika ambayo imetambuliwa rasmi na Umoja wa Afrika, ambayo pia inaonesha kuendelea kupata umaarufu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hakuna haja kwa wananchi wanaoishi mipakani kutumia hati ya kusafiria, badala yake vitambulisho vingine vitumike kuvuka mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua huduma ya kutuma na kutoa pesa Afrika Mashariki kupitia Airtel money

Kampuni ya simu za Mkononi ya Bharti Airtel yenye kufanya shughuli zake katika nchi 20 barani Afrika na Asia leo imetangaza mpango wa kuzindua huduma ya kutuma na kupokea pesa Afrika Mashariki. 
Huduma hii ya kwanza barani Afrika itamwezesha Mteja wa Airtel kutuma , kupokea na kutoa pesa kutoka kwenye salio lake la Airtel Money Hatua ya awali ya huduma hii inategemea kuanza tarehe 1 November 2014 kwa kushirikisha nchi za Kenya, Uganda, Tanzania na Rwanda ambapo huduma hii itaweza kupatikana...

 

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

10 years ago

Mtanzania

Vurugu Afrika Kusini zavuka mipaka

jacob-zumaDurban, Afrika Kusini

LICHA ya Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma kulaani vurugu zinazoendelea nchini humo dhidi ya wageni (xenophobia), vurugu hizo zimezidi kupamba moto na sasa zimevuka mipaka ya nchi hiyo.
Wakati vurugu zikiendelea kwa wenyeji kuvamia na kuiba kwenye maduka ya raia wa kigeni katika hali ambayo imeonesha kama ni kulipa kisasi, raia wa Afrika Kusini wanaoishi na kufanya biashara katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe siku nzima ya jana baadhi yao wameanza kushambuliwa.
Taarifa...

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

10 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki

 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 24 ZA AFRIKA ZAFUNGA MIPAKA KUZUIA KUENEA VIRUSI VYA COVID-19

Nchi 24 za Afrika zafunga mipaka kuzuia kuenea virusi vya COVID-19Takriban nchi 24 za Afrika zimefunga mipaka yake kutokana na hofu ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona ambao unazidi kuenea kwa kasi barani humo.Katika taarifa, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC), ambacho ni taasisi maalumu la Umoja wa Afrika, kimesisitiza kwamba nchi nyingine saba za Afrika zimeweka vizuizi vya kusafiri kutoka baadhi ya nchi. Aidha taarifa hiyo imeseba nyingine saba zimetoa maelekezo ya vizuizi vya kuingia nchini kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani