Kinana ataka vitambulisho vitumike kuvuka mipaka
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema hakuna haja kwa wananchi wanaoishi mipakani kutumia hati ya kusafiria, badala yake vitambulisho vingine vitumike kuvuka mipaka ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
M-Pesa kuvuka mipaka Afrika Mashariki
KATIKA kupanua na kuboresha wigo wa kibiashara na huduma kwa wateja wake kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom, inatarajiwa kuanza kutoa huduma za M-Pesa nje ya nchi...
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATAKA UADILIFU UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA WAJASIRIAMALI AWAMU YA PILI 2020
10 years ago
Habarileo01 Oct
Kinana ataka watendaji wawajibike
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekosoa tabia ya watendaji wa serikali, kushindwa kuwajibika katika nafasi zao na kusukuma matatizo yote kwa Waziri Mkuu na Rais.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kinana ataka mahakama zitetee wanyonge
IMEELEZWA kuwa mahakama zimegeuzwa kuwa vichaka vya kuwakandamiza wanyonge badala ya kutoa haki. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kwenye shamba la mahindi la Kwamnyefu baada ya kupewa malalamiko ya wananchi waliokosa maeneo ya kulima huku wawekezaji wanaomiliki mashamba ya mkonge wakishindwa kuyaendeleza.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z4ZbjPqNIpI/VGzbYxKC7SI/AAAAAAAATgM/jrZi5_0YCuA/s72-c/2.jpg)
KINANA ATAKA WATU WAWAJIBISHWE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z4ZbjPqNIpI/VGzbYxKC7SI/AAAAAAAATgM/jrZi5_0YCuA/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-d5MIES_r5Pw/VGzbFMO7icI/AAAAAAAATe8/kNmC3sM3JDE/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s72-c/02.jpg)
KINANA ATAKA VIJANA WAPEWE FURSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s1600/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3nYY16_YTQ/VG90RU1TpxI/AAAAAAAATl0/TMnNGiwY9Lo/s1600/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yHQr0FYPwaI/VG90omkgw1I/AAAAAAAATmM/wIIaJ0qvRXA/s1600/04.jpg)
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Kinana ataka CCM kuwa karibu na wafanyakazi
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
NA DEBORA SANJA, DODOMA
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho kinatakiwa kuwa karibu na wafanyakazi na kutetea masilahi yao.
Kinana alitoa kauli hiyo mjini hapa jana katika hafla ya kukabidhiwa kadi ya uanachama kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Hotelini, Majumbani, Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU) iliyofanyika katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu.
Alisema mara nyingi wafanyakazi wamekuwa wakijitetea...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kinana ataka mabadiliko mfumo utumishi wa umma
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amesema kuna haja ya mfumo wa utumishi wa umma kubadilishwa, ikiwa ni njia ya kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s72-c/1.jpg)
KINANA ATAKA VIONGOZI KUWAJIBIKA KABLA YA KUWAJIBISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hfVHwV5hzWE/VHC3YZ19VmI/AAAAAAAATsQ/-6Kczxix6h8/s1600/3.jpg)