KINANA ATAKA WATU WAWAJIBISHWE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z4ZbjPqNIpI/VGzbYxKC7SI/AAAAAAAATgM/jrZi5_0YCuA/s72-c/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati) akiongozana na Mbunge wa Jimbo la Nachingwea na Waziri wa Mambo ya Ndani Ndugu Mathias Chikawe (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Nachingwea Ndugu Albert Mnari kuelekea kwenye shamba la ushirika Mkotokuyana wilaya ya Lindi Vijijini tayari kwa kushiriki shughuli za kilimo.
Kikundi cha Wakulima cha Umoja Rika wakiinua majembe juu kama ishara ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyefika kwenye shamba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Sep
KINANA ATINGA BUMBULI, ANG'AKA KIWANDA CHA CHAI KUFA MPONDE, ATAKA VIONGOZI WALIOHUSIKA WAWAJIBISHWE.
![](https://4.bp.blogspot.com/-Gio2ThOpzPg/VCmrI_Da4aI/AAAAAAAAqyk/iNLIzdPOb9c/s1600/19a.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi katika kata ya Mponde, akiwa katika ziara ya kukagua na kusimamia utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua, katika jimbo la Bumbuli, wilayani Lushoto mkoani Tanga, Septemba 29, 2014. Akizungumza na mamia ya wananchi waliofurika kwenye viwanja vya Kijiji cha Mponde, Kinana ameitaka serikali kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wote waliohusika kwa namna moja au nyingine...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s72-c/6.jpg)
KINANA ATAKA WAZAZI KUCHAGUA WATU WENYE SHUGHULI ZAO KUWA WAJUMBE WA KAMATI ZA SHULE
![](http://2.bp.blogspot.com/-P30WfcnebBY/VB9PHuEkugI/AAAAAAAARCw/4tZ8uMUwz60/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HaCjpVafzr8/VB9PJtzQwTI/AAAAAAAARC4/9agjW_GxaJ0/s1600/8.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DKj7VVYTGt4/VB9PMotG8SI/AAAAAAAARDA/jwob49EDL0Y/s1600/13.jpg)
10 years ago
GPLKINANA AWATAKA WALIOSABABISHA HASARA KUFUNGWA KIWANDA CHA CHAI MPONDE, BUMBURI WAWAJIBISHWE HARAKA
10 years ago
Habarileo01 Oct
Kinana ataka watendaji wawajibike
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekosoa tabia ya watendaji wa serikali, kushindwa kuwajibika katika nafasi zao na kusukuma matatizo yote kwa Waziri Mkuu na Rais.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kinana ataka mahakama zitetee wanyonge
IMEELEZWA kuwa mahakama zimegeuzwa kuwa vichaka vya kuwakandamiza wanyonge badala ya kutoa haki. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kwenye shamba la mahindi la Kwamnyefu baada ya kupewa malalamiko ya wananchi waliokosa maeneo ya kulima huku wawekezaji wanaomiliki mashamba ya mkonge wakishindwa kuyaendeleza.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s72-c/02.jpg)
KINANA ATAKA VIJANA WAPEWE FURSA
![](http://2.bp.blogspot.com/-x9f88epmr54/VG90Vr_Fo3I/AAAAAAAATl8/kqTMGQJr14U/s1600/02.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3nYY16_YTQ/VG90RU1TpxI/AAAAAAAATl0/TMnNGiwY9Lo/s1600/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yHQr0FYPwaI/VG90omkgw1I/AAAAAAAATmM/wIIaJ0qvRXA/s1600/04.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s72-c/1.jpg)
KINANA ATAKA VIONGOZI KUWAJIBIKA KABLA YA KUWAJIBISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-36Vd14xCXRg/VHC27e2TtQI/AAAAAAAATqg/JaqFKYKkQO0/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8syB7CqCzo/VHC7oMTgcfI/AAAAAAAATs0/qZW-kQqvgnI/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hfVHwV5hzWE/VHC3YZ19VmI/AAAAAAAATsQ/-6Kczxix6h8/s1600/3.jpg)
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Kinana ataka CCM kuwa karibu na wafanyakazi
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
NA DEBORA SANJA, DODOMA
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho kinatakiwa kuwa karibu na wafanyakazi na kutetea masilahi yao.
Kinana alitoa kauli hiyo mjini hapa jana katika hafla ya kukabidhiwa kadi ya uanachama kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Hotelini, Majumbani, Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU) iliyofanyika katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu.
Alisema mara nyingi wafanyakazi wamekuwa wakijitetea...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Kinana ataka mabadiliko mfumo utumishi wa umma
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amesema kuna haja ya mfumo wa utumishi wa umma kubadilishwa, ikiwa ni njia ya kuhakikisha wanawajibika kwa wananchi.