Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Croatia yaelekeza wahamiaji Slovenia

Croatia imeanza kuwaekeza maelfu ya wahamiaji kwenda kwa mpaka na Slovenia baada ya Hungary kufunga mpaka wake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Slovenia yawapokea wakimbizi kutoka Croatia

Mamia ya wahamiaji wameingia nchini Slovenia wakitokea Croatia, licha ya Hungary kufunga mpaka wake kwao

 

9 years ago

BBCSwahili

Hatimaye Wahamiaji waingia Slovenia

Slovenia imewaruhusu wakimbizi na wahamiaji wote waliokuwa wamekwama katika mpaka wake na Croatia kuingia nchini mwao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mamia ya wahamiaji waingia Slovenia

Mamia ya wahamiaji wamevuka na kuingia Slovenia kutoka Croatia leo, baada ya Serikali ya Hungari kufunga mpaka wao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji kuruhusiwa kuvuka Croatia

Waziri mkuu wa Croatia amesema nchi yake haiwezi kuwazuia wahamiaji wanaotaka kuelekea upande wa magharibi mwa Ulaya

 

9 years ago

BBCSwahili

Croatia yawaruhusu wahamiaji kuingia Hungary

Waziri Mkuu wa Coatia, Zoran Milanovic, anasema nchi yake itaendelea kuwaelekeza wakimbizi waende Hungary.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wapata njia mpya Croatia

Kundi la kwanza la wahamiaji limewasili nchini Croatia ,ambayo ni njia mpya ya kuelekea mataifa ya Ulaya yaliopo kaskazini ,siku moja baada ya Hungary kufunga mpaka wake na Serbia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaelekeza mawasiliano vijijini

SERIKALI imezitaka mamlaka binafsi za mawasiliano nchini kuongeza ushirikiano na ushiriki katika kutoa huduma mbalimbali za mawasiliano, hasa vijijini na maeneo yasiyokuwa na mvuto wa kibiashara ili kuongeza chachu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yaelekeza nguvu Morogoro

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametaka matengenezo ya eneo la Daraja Mkundi lililozolewa na mafuriko likamilike haraka ili magari yaanze kupita. Dk Magufuli jana alitembelea eneo la Dumila na baada ya kujionea hali halisi alimwagiza Kaimu Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Crispianus Ako na watendaji wengine waandamizi kutoka Tanroads na Wizara ya Ujenzi kuwa hapo muda wote wakati kazi za kurejesha mawasiliano zikiendelea.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaelekeza nguvu Ligi Kuu

KLABU bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC wameahirisha mechi yao ya kirafiki dhidi ya Ruvu Shooting na sasa macho yao yanatazama kutulia na kujipanga kwa ajili ya maandalizi ya ligi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani