Serikali yaelekeza mawasiliano vijijini
SERIKALI imezitaka mamlaka binafsi za mawasiliano nchini kuongeza ushirikiano na ushiriki katika kutoa huduma mbalimbali za mawasiliano, hasa vijijini na maeneo yasiyokuwa na mvuto wa kibiashara ili kuongeza chachu ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Apr
Serikali yataja kinachokwamisha mawasiliano vijijini
SERIKALI imesema changamoto kubwa inayozuia kufika kwa mawasiliano vijijini ni kukosekana kwa utayari kwa kampuni za simu za mikononi kutoa huduma hizo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini
![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYPBc82Rwk8/U1aIFHnaNeI/AAAAAAAFcUE/yoCEBleKf-Y/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
Habarileo24 Jan
Serikali yaelekeza nguvu Morogoro
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli ametaka matengenezo ya eneo la Daraja Mkundi lililozolewa na mafuriko likamilike haraka ili magari yaanze kupita. Dk Magufuli jana alitembelea eneo la Dumila na baada ya kujionea hali halisi alimwagiza Kaimu Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Crispianus Ako na watendaji wengine waandamizi kutoka Tanroads na Wizara ya Ujenzi kuwa hapo muda wote wakati kazi za kurejesha mawasiliano zikiendelea.
9 years ago
Habarileo12 Dec
Serikali yaelekeza uendeshaji wa sekondari zake za bweni
SERIKALI inatarajiwa kutoa utaratibu wa namna wanafunzi wa shule za Serikali za mabweni, watakavyosoma huku ikionya wakuu wa shule watakaodai ada au michango ya aina yoyote, kwamba watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi.
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
TTCL yaahidi ufanisi mawasiliano vijijini
KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imeahidi kutekeleza kwa ufanisi na kwa wakati zabuni iliyoshinda ya mradi wa kutoa huduma za mawasiliano vijijini. Ahadi hiyo ilitolewa na Ofisa Mkuu wa Masoko...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6YGUAetzQEc/Uwm5aGx3LoI/AAAAAAAFO2Y/PN6qKmyhizI/s72-c/unnamed+(2).jpg)
TTCL yaahidi makubwa mradi wa mawasiliano vijijini
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfxEmWi_bow/VWGRGcEGW9I/AAAAAAAAsaI/9WPjEMYIinY/s72-c/1.jpg)
WANANCHI VIJIJINI KUNUFAIKA NA MAWASILIANO YA SIMU KUTOKA TTCL
Kata hizo ni pamoja; Oljoro –Arusha, Olmotonyi- Arusha, Olorieni – Arusha, Chikola- Dodoma, Mpalanga- Dodoma, Farkwa-Dodoma, Iduo-Dodoma, Masagalu-Tanga,...