Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumbe kuruhusiwa Muhimbili Jumapili

Familia ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (95), imesema inatarajia kumwombea ruhusa ya kutoka hospitali Jumapili ijayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Aboud Jumbe alazwa hospitali ya taifa Muhimbili

Aboud-Jumbe-Mwinyi1

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Aboud Jumbe Mwinyi (94).

Na Mwandishi wetu

Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (94), yupo hoi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili akisumbuliwa na maradhi ya moyo.

Taarifa iliyotolewa na  Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Muhimbili, Doris Ishenga, alisema Jumbe alipokewa hospitalini hapo tangu Oktoba 12, mwaka huu.

Amelazwa katika Taasisi ya Moyo baada ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji kuruhusiwa kuvuka Croatia

Waziri mkuu wa Croatia amesema nchi yake haiwezi kuwazuia wahamiaji wanaotaka kuelekea upande wa magharibi mwa Ulaya

 

5 years ago

CCM Blog

MGONJWA WA TATU WA CORONA APONA NA KURUHUSIWA


•    Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho
Na. WAMJW-Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa  mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.
Waziri Ummy  ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...

 

5 years ago

Michuzi

Mgonjwa wa tatu apona ugonjwa wa Corona na kuruhusiwa


•    Mwingine mmoja kusubiri kipimo cha mwisho

Na. WAMJW-Dar es Salaam

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwa mgonjwa wa tatu aliyeambukizwa ugonjwa wa corona nchini amepona na kuruhusiwa kurudi nyumbani, huku mgonjwa  mwingine mmoja kipimo cha pili ameonyesha negative hivyo anasubiri kipimo cha mwisho kuthibitishwa kupona.

Waziri Ummy  ameyasemahaya leo jijini hapa kuwa mmoja wa wagonjwa hao ni yule aliyekuwa amelazwa kwenye kituo maalumu ya tiba...

 

9 years ago

StarTV

Albino Aliyekatwa Mkono  kuruhusiwa hospitalini Lushoto

 

Hospitali ya Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga imesema wakati wowote itamruhusu mkazi wa kijiji cha Bungoi Ester Magamba baada ya afya yake kuimarika.

Ester ambaye ni mlemavu wa ngozi Albino alifikishwa katika hospitali hiyo baada ya watu kuvamia nyumbani kwake Desemba 8 na kumkata kidole chake cha mkono wa koshoto.

Tayari Jeshi la Polisi limemkamata mtu mmoja anayedaiwa kuhusika katika tukio hilo na linaendelea kuwatafuta watu wengine wawili..

Wilaya ya Lushoto, wilaya yenye sifa ya kilimo...

 

9 years ago

StarTV

Kocha wa Prisons Apata nafuu na kuruhusiwa utoka Hospitali.

Aliekua kocha Mkuu wa Tanzania Prisons David Mwamaja ameruhusiwa kutoka Hospital ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa kwa siku kumi kutokana na kusumbuliwa na ugongwa wa kichwa baada damu kuvilia katika ubongo.

Mwamaja alianza kuugua ugonjwa huo wiki mbili zilizopita baada ya kuanguka akiwa katika majukumu ya kuinoa timu ya Mji Njombe inayoshiriki ligi daraja la kwanza.

Akizungumza kwa taabu kocha Mwamaja anaeleza kuwa alianguka katika korongo na kupoteza fahamu na baada ya kuzinduka akaanza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre

Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon

 

11 years ago

TheCitizen

Hussein Jumbe: Dance music has to reinvent

It is a weekend and as I stroll down the neighbourhood, a banner of  Shikamo Jazz Band announces that they shall be performing that afternoon at a nearby watering hole.

 

10 years ago

Mwananchi

Aboud Jumbe sasa atoka hospitali

Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aboud Jumbe (95) ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa, Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani