Albino Aliyekatwa Mkono  kuruhusiwa hospitalini Lushoto
Hospitali ya Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga imesema wakati wowote itamruhusu mkazi wa kijiji cha Bungoi Ester Magamba baada ya afya yake kuimarika.
Ester ambaye ni mlemavu wa ngozi Albino alifikishwa katika hospitali hiyo baada ya watu kuvamia nyumbani kwake Desemba 8 na kumkata kidole chake cha mkono wa koshoto.
Tayari Jeshi la Polisi limemkamata mtu mmoja anayedaiwa kuhusika katika tukio hilo na linaendelea kuwatafuta watu wengine wawili..
Wilaya ya Lushoto, wilaya yenye sifa ya kilimo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAKUU WA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAMTEMBELEA MTOTO ALBINO ALIYEKATWA KIGANJA
10 years ago
Habarileo15 May
Albino mwingine akatwa mkono
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Kizimbani kwa kumkata mkono albino
NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
WATU wanane wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kujibu shitaka la kumjeruhi kwa mapanga na kisha kumkata mkono Lemi Luchumi (30) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino), mkazi wa Mwamachoma, Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele na kisha kutokomea nao.
Watuhumiwa hao waliopandishwa kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, Odira Amworo ni Alex Manyanza (24), Nogele Maliganya, Galula Nkuba (45), Shile...
10 years ago
Habarileo22 Aug
Adaiwa kukata mkono wa binti albino
MKAZI wa Kata ya Usinge, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, John Fumbuka, amefikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kujaribu kumuua binti wa miaka 15 ambaye ni albino.
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wanane kortini kwa kumkata albino mkono
WATU wanane wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi kwa kumkata mkono wa kulia, Remi Luchoma (30) mwenye ulemavu wa ngozi, kisha kutokomea na mkono huo kusikojulikana.
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Jirani mbaroni kusaidia albino kukatwa mkono
10 years ago
Habarileo03 Sep
Kortini kwa kukata mkono wa albino, kuua mume
WATU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga na kusomewa mashitaka ya kukata mkono wa mlemavu wa ngozi na kisha kumuua mumewe.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DKap6Y07kzY/Xs5qCYGehwI/AAAAAAALruw/02mPbjQs2UkagrMONEX4G75IjBrnF0MSgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
MWANAFUNZI ALIYEKATWA MGUU AOMBA MSAADA WA MASOMO
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba ya wilayani Muleba, Aristidia John, amepata msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu (Wheerchair).
Baiskeli hiyo iliyotolewa na taasisi ya The Desk & Chair Foundation ili kumrahisishia usafiri ilikabidhiwa jana kwa mtoto huyo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mwanza (MPC) .
Aristidia ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Katoba wilayani Muleba, alifanyiwa...