Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola; ni homa ya Hispania? (2)

KATIKA makala iliyopita tuliona nini maana ya ugonjwa wa Ebola, dalili zake na inavyoambukiza. Pia ugonjwa huo unavyoua haraka, kama ilivyokuwa kwa homa ya Hispania iliyojitokeza zaidi  ya miaka ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hispania yafanya uchunguzi

Tume ya Ulaya umeitaka Hispania kueleza ambavyo muuguzi aliambukizwa Ebola mjini Madrid na kuwa mtu wa kwanza kuugua ugonjwa huo

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

11 years ago

GPL

PADRI WA HISPANIA AFARIKI KWA EBOLA

Padri Miguel enzi za uhai wake. PADRI raia wa Hispania, Miguel Pajares, 75, aliyeambukizwa virusi vya Ebola wakati akifanya kazi Afrika Magharibi amefariki dunia akiwa hospitalini mjini Madrid. Padri Miguel alikuwa anafanya kazi katika Hospitali ya Mtakatifu Joseph iliyopo mjini Monrovia, Liberia.
Alisafirishwa kwenda Hispania kutoka Liberia wiki iliyopita akiwa na mtawa mmoja ambaye naye aliponea chupuchupu kuambukizwa homa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Muuguzi Hispania alijigusa uso

Daktari mjini Madrid Uhispania, anasema muuguzi aliyeambukizwa Ebola amesema kuwa aligusa uso wake baada ya kumtibu kasisi aliyefariki kutokana na ugonjwa huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kona ya Makengeza: Tanza-nia isiwe Tanzia-nia

Jana nilipokuwa nakaa kwenye foleni za maendeleo hapa Bongo na kuangalia full mchepuko wa watu kama kawaida, nikaanza kujiuliza huko makao makuu pasipo na makazi makuu hakuna foleni? Maana wenye nia ni wengi, na wafuasi wao ni wengi, na wapambe wao ni wengi, hakuna foleni kweli huko?

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

5 years ago

Michuzi

Soka Linarejea Hispania na Meridianbet

 BAADA ya miezi mitatu mirefu – Hatimaye soka linarejea Hispania! Kila mechi ambayo itachezwa kule Hispania wakati ligi ikiendelea itaacha kwa ukimya wa dakika moja kuwakumbuka wahanga wote waliopoteza maisha yao kwenye janga la virusi vya corona, na pia hakutakuwa na mashabiki na masharti yote ya msingi ya afya yatazingatiwa.
Kuanzia wiki hii, mpira utadunda kwenye viwanja vya Hispania karibu kila siku, hivyo ni wakati muafaka wa kushiriki mchezoni na kujipatia pesa na ofa kabambe za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Hispania ushindani mkubwa

Dalili za awali katika uchaguzi nchini Hispania zinaonyesha huenda vyama vipya vikapata ushindi zaidi ya vile ambavyo vimekuwepo kwa miongo kadhaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama kunusuru soka Hispania

Mahakama nchi Hispania imepiga marufuku mgomo uliokuwa unaandaliwa na muungano wa soka ambao umepangwa kutekelezwa wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani