Hispania kidedea
Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J6g_N5dGAiY/XuBU9_5vxOI/AAAAAAALtQc/HsQsz3IyAUYaMMpk7lDLsXzWJaasGnq6gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B6.34.05%2BAM.jpeg)
Soka Linarejea Hispania na Meridianbet
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6g_N5dGAiY/XuBU9_5vxOI/AAAAAAALtQc/HsQsz3IyAUYaMMpk7lDLsXzWJaasGnq6gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B6.34.05%2BAM.jpeg)
Kuanzia wiki hii, mpira utadunda kwenye viwanja vya Hispania karibu kila siku, hivyo ni wakati muafaka wa kushiriki mchezoni na kujipatia pesa na ofa kabambe za...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Bale: Soka la Hispania linatisha
Winga wa Real Madrid, Gareth Bale amesifu kiwango cha juu cha ufundi cha uchezaji wa soka wa La Liga kulinganisha na England, ikiwa ni miezi sita tu tangu alipojiunga na vigogo hao wa Hispania.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Mahakama kunusuru soka Hispania
Mahakama nchi Hispania imepiga marufuku mgomo uliokuwa unaandaliwa na muungano wa soka ambao umepangwa kutekelezwa wiki hii.
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Wahamiaji wanavyopenya kuingia Hispania
Polisi wa Hispania wametoa video inayoonyesha mamia ya wahamiaji wakivuka isivyo halali katika mji mdogo wa Mel-eelya.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waliouza mchezo kushitakiwa,Hispania
Idara ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini Hispania imeiagiza mahakama kumshitaki kocha wa zamani wa klabu ya Real Zaragoza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi1nAadvkqLAJTbYpTVPe9KRx7ITGD-2OkY9HegPHD2yFhw2avvsc7e7rDQMuc3kuzANKU69hF*7xYsPcGuYjO3V/aza.jpg?width=650)
Azam kuweka kambi Hispania
Wachezaji wa timu ya Azam FC wakishangilia bao katika moja ya mechi ya Ligi kuu ya Vodacom. Na Martha Mboma
KATIKA kuhakikisha wanafanya vyema kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara pamoja na michuano ya kimataifa, Klabu ya Azam inatarajia kuweka kambi nchini Hispania ikiwa ni sehemu ya maandalizi.
Azam ambao ni mabingwa watetezi wa ligi kuu, wanatarajia kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani. Chanzo cha kuaminika...
10 years ago
BBCSwahili25 May
Uchaguzi Hispania ushindani mkubwa
Dalili za awali katika uchaguzi nchini Hispania zinaonyesha huenda vyama vipya vikapata ushindi zaidi ya vile ambavyo vimekuwepo kwa miongo kadhaa.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Hispania yaweka rekodi mpya
Rio de Janeiro, Brazil. Hispania imeingia katika orodha mbaya ya kihistoria ya kuwa timu ya tano bingwa kuondolewa mapema katika fainali za Kombe la Dunia.
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Uchaguzi wa Hispania,matokeo yasubiriwa
Matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Hispania yanaashiria kuwa vyama viwili vimepata karibu theluthi moja ya viti bungeni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania