Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji wanavyopenya kuingia Hispania

Polisi wa Hispania wametoa video inayoonyesha mamia ya wahamiaji wakivuka isivyo halali katika mji mdogo wa Mel-eelya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Croatia yawaruhusu wahamiaji kuingia Hungary

Waziri Mkuu wa Coatia, Zoran Milanovic, anasema nchi yake itaendelea kuwaelekeza wakimbizi waende Hungary.

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LINAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU RAIA WA ETHIOPIA NA MALAWI KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI.

 Watu  waliokamatwa kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria  Afisa uhamiaji mkoa wa Dodoma Ally Haji Amil  Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma SACP David Misime.
Habari na Sylvester Onesmo, picha
na Peter Simoni wa Jeshi la Polisi Dodoma. ---------------- Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne raia wa Ethiopia kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria, watu hao walikamatwa kufuatia taarifa ya raia wema waliokuwa wakisafiri nao katika basi hilo. Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

Michuzi

IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.

Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake

Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji Mbeya. Habari na picha
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake  Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

11 years ago

BBCSwahili

Bintimfalme Hispania ahojiwa mahakamani

Bintimfalme wa Hispania amehojiwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi zinazomhusisha na biashara za mume wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Hispania,matokeo yasubiriwa

Matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Hispania yanaashiria kuwa vyama viwili vimepata karibu theluthi moja ya viti bungeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hispania yafanya uchunguzi

Tume ya Ulaya umeitaka Hispania kueleza ambavyo muuguzi aliambukizwa Ebola mjini Madrid na kuwa mtu wa kwanza kuugua ugonjwa huo

 

11 years ago

Mwananchi

Ubingwa kuwatajirisha nyota wa Hispania

Wachezaji wa Hispania watalipwa fedha mara mbili ya wenzao wa Brazil na Ujerumani kama watafanikiwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Dunia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani