Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubingwa kuwatajirisha nyota wa Hispania

Wachezaji wa Hispania watalipwa fedha mara mbili ya wenzao wa Brazil na Ujerumani kama watafanikiwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Hispania yavuliwa ubingwa

Uholanzi na Chile zimekuwa timu za kwanza kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 huku Hispania na Australia zikiwa timu za kwanza kuaga fainali hizo.

 

5 years ago

Press

M-PAWA INAZIDI KUWATAJIRISHA WATANZANIA MSHINDI WA PILI WA MILIONI 20 APATIKANA

01

Vodacom Tanzania wakishirikiana na Benki ya CBA, ilizindua promosheni kubwa inayojulikana kama “Jiongeze na M-Pawa” ambayo inawawezesha watumiaji wa huduma ya M-Pawa kujishindia zawadi ya fedha taslimu. Jumla ya shilingi milioni 300 zimetengwa kwa ajili ya promosheni hiyo na mshindi mmoja wa droo kubwa atajishindia kitita cha shilingi milioni 100. Washindi wa wiki watazawadiwa shilingi milioni 20 na washindi wa siku watazawadiwa shilingi milioni moja. Promosheni hiyo ambayo ilianza mwanzoni...

 

10 years ago

Mwananchi

Vitenge vya nyota nyota vyatikisa

Licha ya kuwepo kwa matoleo ya aina mbalimbali za vitenge kwa mwaka huu vipo ambavyo vimeonekana kukubalika na kuvaliwa zaidi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hispania kidedea

Harakati za kwenye michuano ya soka ya mataifa bara la Ulaya ziliendelea tena usiku wa kuamkia leo

 

11 years ago

Mwananchi

Hispania yaweka rekodi mpya

Rio de Janeiro, Brazil. Hispania imeingia katika orodha mbaya ya kihistoria ya kuwa timu ya tano bingwa kuondolewa mapema katika fainali za Kombe la Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashindano ya mpira wa vikapu Hispania

Hispania watapambana na Ufaransa huku Brazil ikikutana na Serbia kwenye mechi za robo fainali kombe la dunia

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hispania yafanya uchunguzi

Tume ya Ulaya umeitaka Hispania kueleza ambavyo muuguzi aliambukizwa Ebola mjini Madrid na kuwa mtu wa kwanza kuugua ugonjwa huo

 

11 years ago

BBCSwahili

Bintimfalme Hispania ahojiwa mahakamani

Bintimfalme wa Hispania amehojiwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi zinazomhusisha na biashara za mume wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Mgonjwa Ebola abainika Hispania

Uchunguzi unaendelea nchini Hispania ili kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Ebola baada ya mgonjwa wa kwanza kubainika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani