Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil 2014: Hispania yavuliwa ubingwa

Uholanzi na Chile zimekuwa timu za kwanza kutinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 huku Hispania na Australia zikiwa timu za kwanza kuaga fainali hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: ‘Kombe la Hispania, Brazil’ - Torres

Kikosi cha kocha Vicente Del Bosque kinasaka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Hispania kutetea ubingwa wake.

 

9 years ago

Bongo5

Chelsea yavuliwa ubingwa wa “Capital One” na Stoke City

Matoke mabaya yana endelea kumuandama Jose Mourinho msimu huu baada ya vijana wake kutolewa katika shindano kombe la Capital One na Stoke City kupitia mikwaju ya penalti mechi iliyochezwa Jumanne kuamkia Jumatano na kuvuliwa ubingwa wa kombe hilo. Stoke City walipata goli lao la kwanza kupitia kwa mchezaji wao Jonathan Walters dakika chache baada kipindi […]

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Neymar bado ana ndoto za ubingwa

>Mshambuliaji wa Brazil aliyeumia, Neymar amewatumia wenzake video yake inayomwonyesha akiwatia moyo kwa kuendelea kuwa na matumaini ya kutwaa Kombe la Dunia 2014 bila uwepo wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Ubingwa kuwatajirisha nyota wa Hispania

Wachezaji wa Hispania watalipwa fedha mara mbili ya wenzao wa Brazil na Ujerumani kama watafanikiwa kutetea ubingwa wao wa Kombe la Dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Rio awatabiria akina Pogba kung’ara Brazil

Ferdinand, ambaye amestaafu kuchezea timu ya taifa, atakuwa mmoja wa wachambuzi wa michuano hiyo ya mwaka huu inayoanza wiki hii.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil

>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia

>From 32, it’s down to the last 16. Here there are no second chances. It is win or bust.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva

>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani