Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bale: Soka la Hispania linatisha

Winga wa Real Madrid, Gareth Bale amesifu kiwango cha juu cha ufundi cha uchezaji wa soka wa La Liga kulinganisha na England, ikiwa ni miezi sita tu tangu alipojiunga na vigogo hao wa Hispania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama kunusuru soka Hispania

Mahakama nchi Hispania imepiga marufuku mgomo uliokuwa unaandaliwa na muungano wa soka ambao umepangwa kutekelezwa wiki hii.

 

5 years ago

Michuzi

Soka Linarejea Hispania na Meridianbet

 BAADA ya miezi mitatu mirefu – Hatimaye soka linarejea Hispania! Kila mechi ambayo itachezwa kule Hispania wakati ligi ikiendelea itaacha kwa ukimya wa dakika moja kuwakumbuka wahanga wote waliopoteza maisha yao kwenye janga la virusi vya corona, na pia hakutakuwa na mashabiki na masharti yote ya msingi ya afya yatazingatiwa.
Kuanzia wiki hii, mpira utadunda kwenye viwanja vya Hispania karibu kila siku, hivyo ni wakati muafaka wa kushiriki mchezoni na kujipatia pesa na ofa kabambe za...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 04.04.2020: Varane, Costa, Bale, Coutinho, Kane

Mabigwa wa Italian Juventus wako tayari kumuuza winga wao raia wa Brazil Douglas Costa, 29, kwa Manchester City kama sehemu ya makubaliano ya kuweza kumsajili Gabriel Jesus, 23. (Calcio Mercato, in Italian)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 18.03.2020: Bale, Mahrez, Martinez, Trippier, Mkhitaryan

Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30, kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 01.04.2020: De Ligt, Pogba, Sanchez, Bale and Ramsey

Manchester United wanajiandaa kutangaza dau la kumnunua beki wa Juventus na Uholanzi Matthijs de Ligt

 

10 years ago

Mwananchi

Marco Asensio kizazi kipya cha soka la Hispania

Ni wachezaji wachache ambao huwa wanapata nafasi ya kutokea katika ukurasa wa mbele wa gazeti la michezo la Marca nchini Hispania ambalo lina wasomaji wengi, lakini Marco Asencio (18) ametokea kwenye gazeti hilo kwa sababu ya kipaji cha hali ya juu cha kutandaza soka alichonacho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 20.04.2020: Kane, Bale, Neymar, Lacazette, Dembele, Havertz

Arsenal wameulizia rasmi uwezekano wa kumsajili winga wa Valencia na Uhispania Rodrigo Moreno, 29.

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi

Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 22.04.2020: Coutinho, Sancho, Werner, Bale, Karius, Jimenez

Kiungo wa Monaco Cesc Fabregas, 32 , amedokeza mpango wa kuhamia LIgi kuu ya Soka Marekani, akisema yeye ni mpenzi wa ligi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani