Bale: Soka la Hispania linatisha
Winga wa Real Madrid, Gareth Bale amesifu kiwango cha juu cha ufundi cha uchezaji wa soka wa La Liga kulinganisha na England, ikiwa ni miezi sita tu tangu alipojiunga na vigogo hao wa Hispania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 May
Mahakama kunusuru soka Hispania
Mahakama nchi Hispania imepiga marufuku mgomo uliokuwa unaandaliwa na muungano wa soka ambao umepangwa kutekelezwa wiki hii.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J6g_N5dGAiY/XuBU9_5vxOI/AAAAAAALtQc/HsQsz3IyAUYaMMpk7lDLsXzWJaasGnq6gCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B6.34.05%2BAM.jpeg)
Soka Linarejea Hispania na Meridianbet
![](https://1.bp.blogspot.com/-J6g_N5dGAiY/XuBU9_5vxOI/AAAAAAALtQc/HsQsz3IyAUYaMMpk7lDLsXzWJaasGnq6gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B6.34.05%2BAM.jpeg)
Kuanzia wiki hii, mpira utadunda kwenye viwanja vya Hispania karibu kila siku, hivyo ni wakati muafaka wa kushiriki mchezoni na kujipatia pesa na ofa kabambe za...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 04.04.2020: Varane, Costa, Bale, Coutinho, Kane
Mabigwa wa Italian Juventus wako tayari kumuuza winga wao raia wa Brazil Douglas Costa, 29, kwa Manchester City kama sehemu ya makubaliano ya kuweza kumsajili Gabriel Jesus, 23. (Calcio Mercato, in Italian)
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 18.03.2020: Bale, Mahrez, Martinez, Trippier, Mkhitaryan
Real Madrid wanapanga mikakati itakayomuwezesha mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale, 30, kuondoka kwa uhamisho bila malipo. (Marca)
5 years ago
BBCSwahili01 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 01.04.2020: De Ligt, Pogba, Sanchez, Bale and Ramsey
Manchester United wanajiandaa kutangaza dau la kumnunua beki wa Juventus na Uholanzi Matthijs de Ligt
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Marco Asensio kizazi kipya cha soka la Hispania
Ni wachezaji wachache ambao huwa wanapata nafasi ya kutokea katika ukurasa wa mbele wa gazeti la michezo la Marca nchini Hispania ambalo lina wasomaji wengi, lakini Marco Asencio (18) ametokea kwenye gazeti hilo kwa sababu ya kipaji cha hali ya juu cha kutandaza soka alichonacho.
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 20.04.2020: Kane, Bale, Neymar, Lacazette, Dembele, Havertz
Arsenal wameulizia rasmi uwezekano wa kumsajili winga wa Valencia na Uhispania Rodrigo Moreno, 29.
5 years ago
BBCSwahili13 May
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 13.05.2020: Bale, Ndombele, Sancho, Ighalo, Pogba, Messi
Newcastle wako tayari kutumia £53m kumpata mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale, 30, mpango ambao ukifanikiwa utamrejesha ntota huyo katika ligi kuu ya England msimu huu
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano 22.04.2020: Coutinho, Sancho, Werner, Bale, Karius, Jimenez
Kiungo wa Monaco Cesc Fabregas, 32 , amedokeza mpango wa kuhamia LIgi kuu ya Soka Marekani, akisema yeye ni mpenzi wa ligi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania