MSTUKO: MGONJWA WA KWANZA WA EBOLA AFARI NCHINI MAREKANI!
![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-vjwRQQWQztdxQDViR2ZqO9FErm8iZ0oqW33kn-MzAnhb5XDzIn1Y*zJGGCLWO4lk9w4Le9EbIZk45ovFYd-iCR/dancun.jpg)
Eric Thomas Dancun Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa Ebola nchini Mrekani, Eric Thomas Dancun (42), amefariki dunia jioni hii (saa 1:51 kwa Marekani). Dancun alitokea nchini Liberia na kuingia Marekani mwezi uliopita ambako alikwenda kumtembelea ndugu yake, taarifa iliyotolewa na Texas Health Presbyterian Hospital, ambako mgonjwa huyo alikuwa amelazwa, imesema. Dancun anakuwa mgonjwa wa kwanza kufariki dunia nchini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Oct
Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Marekani.
Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
USA:Mgonjwa wa kwanza wa Ebola afariki
10 years ago
StarTV24 Oct
Mgonjwa wa Ebola agundulika Marekani.
Daktari wa Marekani aliyekuwa akiwahudumia wagonjwa wa Ebola Nchini Guinea amepimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa huko katika hospitali ya ya mjini Newyork.
Dr Craig Spencer ambaye ni mmoja kati ya madaktari wasio na mipaka alianza kujisikia maumivu na homa siku chache tu baada ya kurejea Marekani akitokea Afrika Magharibi.
Siku ya Alhamisi wiki hii Craig alipelekwa hospitali kwaajili ya vipimo na kisha akatengwa kwa uchunguzi zaidi wa afya yake.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari...
10 years ago
Vijimambo09 Oct
MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008162619_mgonjwa_us_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.
Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU ATHIBITISHA UWEPO WA MGONJWA WA KWANZA WA CORONA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BLrI4uqfG24/Xm9vI4d-rXI/AAAAAAALj5Y/HEetb1PRaIMGkc0CqWoF95aUAoUKlmNCgCLcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya jamiiWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuna mtu mmoja mwenye umri wa miaka 46 ameainika kuwa na virusi vya Corona Covid 19 ambaye aliwasili nchini na ndege ya Rwandan air akitokea nchini ubelgiji.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam Waziri Ummy amesema kuwa mtu huyo ambaye ni mwanamke raia wa Tanzania aliondoka nchini, Machi 3, 2020,ambapo kati ya Machi 5 hadi Machi13 alitembelea nchi za Swiden na Denmark na kurudi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3CDBxyqodM/XoLma4Wrb2I/AAAAAAALlpo/YurqeqLopbMt-r2bOdOEUuU8fK_YC0EuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1b7931d8-0454-420c-900b-f16270d2f8d8.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mgonjwa Ebola abainika Hispania
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola
11 years ago
BBCSwahili27 Jul
Freetown:Mgonjwa wa Ebola afariki