KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
HII mpya! Kuna madai kwamba, kaburi la aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali lililopo Makaburi ya Gate of Haeven (Geti la Mbinguni) Eneo Na. 6, Ploti Na. 241, Safu Na. 17 huko Maryland nchini Marekani lipo mbioni kufukuliwa ili kuwezesha vipimo vya vinasaba (DNA) kutumika kwa lengo la kubaini ukweli wa kifo chake, Ijumaa limeelezwa. Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MsqiAHkrLsE6x6u5y3LL*hc2IfdJUF3pDsoHRRXjar5Vhmz4iUf02eXmXfN-3Y7NgKTzYCrxJDkqmubg1g0HC9e/morani.jpg?width=650)
MORANI WAGOMA KABURI KUFUKULIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMLSVweh9BZ9YYRhMjmRLhO-mrrRvhwHZg8cIl1Y-9iA7-0DHGTGfsvTjFwkzDSuFYoycq02jD6oq7K1WQYd0IC/IMG20140908WA0011.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s72-c/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Breaking nyuzzzzz......Mahakama yaamuru kaburi la mume kufukuliwa kwa pingamizi la mke mkubwa dhidi ya mdogo kijiji cha mandaka wilaya ya moshi vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s1600/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu
ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Uamuzi wa kufukuliwa kwa kaburi hilo umefikiwa baada ya mke anayedaiwa kuwa ni wa ndoa wa marehemu Stephen Assey, Bi. Lucy Laurant kwenda mahakamani kuweka zuio la kuzikwa kwa marehemu katika eneo ilipo nyumba aliyokuwa akiishi na mke mdogo aliyefahamika kwa jina la Fortinata...
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2381304/medRes/785514/-/maxh/240/maxw/460/-/12s935mz/-/balali.jpg)
KIFO: Mwisho wa Ballali
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
B Fasso:Mwili wa Sankara kufukuliwa
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Gharama kubwa alikozikwa Ballali
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Nini kilimuua Gavana Ballali?
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Korti yaamuru maiti kufukuliwa
MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Marekani inathibitisha kifo cha Ballali