B Fasso:Mwili wa Sankara kufukuliwa
Serikali Burkina Fasso imeagiza kufukuliwa kwa mwili wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Thomas Sankara .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
B.Faso:mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa
10 years ago
StarTV25 May
Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa Burkina Faso
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/04/30/140430174606_sankara_640x360__nocredit.jpg)
Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa leo Burkina Faso
Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili ambao unakisiwa kuwa wa raisi wa zamani aliyeuawa Thomas Sankara utafukuliwa hii leo katika jaribio la kutaka kubainisha ikiwa ni wake.
Familia na marafiki wa rais Sankara wamekuwa na shauku iwapo mabaki hayo ni yake.
Bwana Sankara aliuawa wakati wa mapinduzi mwaka 1987.
Sankara alichukuwa uongozi baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1983.
Sankara alipinduliwa na Blaise Compaore ambaye...
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Congo kumenyana na Burkina Fasso
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
E Guinea yatoka sare na Burkina Fasso
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Burkina Fasso yaapa kuwashinda wenyeji
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MsqiAHkrLsE6x6u5y3LL*hc2IfdJUF3pDsoHRRXjar5Vhmz4iUf02eXmXfN-3Y7NgKTzYCrxJDkqmubg1g0HC9e/morani.jpg?width=650)
MORANI WAGOMA KABURI KUFUKULIWA
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Korti yaamuru maiti kufukuliwa
MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMLSVweh9BZ9YYRhMjmRLhO-mrrRvhwHZg8cIl1Y-9iA7-0DHGTGfsvTjFwkzDSuFYoycq02jD6oq7K1WQYd0IC/IMG20140908WA0011.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA