Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


B Fasso:Mwili wa Sankara kufukuliwa

Serikali Burkina Fasso imeagiza kufukuliwa kwa mwili wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Thomas Sankara .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

B.Faso:mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa

Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili unaokisiwa kuwa wa Thomas Sankara utafukuliwa leo

 

10 years ago

StarTV

Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa Burkina Faso


Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa leo Burkina Faso

Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili ambao unakisiwa kuwa wa raisi wa zamani aliyeuawa Thomas Sankara utafukuliwa hii leo katika jaribio la kutaka kubainisha ikiwa ni wake.

Familia na marafiki wa rais Sankara wamekuwa na shauku iwapo mabaki hayo ni yake.

Bwana Sankara aliuawa wakati wa mapinduzi mwaka 1987.

Sankara alichukuwa uongozi baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1983.

Sankara alipinduliwa na Blaise Compaore ambaye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo kumenyana na Burkina Fasso

Huku Congo ikichuana na Burkina fasso katika mechi ya kundi A, taifa hilo linahitaji sare ya aina yoyote ili kufuzu .

 

10 years ago

BBCSwahili

E Guinea yatoka sare na Burkina Fasso

Burkina Fasso wamepiga chuma cha goli mara mbili na hivyobasi kuzuiwa na Equitorial Guinea katika sare ya kwanza ya 0-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Burkina Fasso yaapa kuwashinda wenyeji

Nahodha wa timu ya taifa ya Burkina Fasso Charles Kabore amesisitiza kuwa wataimarisha mchezo wao baada ya kushindwa na Gabon

 

9 years ago

GPL

KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA

HII mpya! Kuna madai kwamba, kaburi la aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), marehemu Daudi Timoth Ballali lililopo Makaburi ya Gate of Haeven (Geti la Mbinguni) Eneo Na. 6, Ploti Na. 241, Safu Na. 17 huko Maryland nchini Marekani lipo mbioni kufukuliwa ili kuwezesha vipimo vya vinasaba (DNA) kutumika kwa lengo la kubaini ukweli wa kifo chake, Ijumaa limeelezwa. Aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),...

 

10 years ago

GPL

MORANI WAGOMA KABURI KUFUKULIWA

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha Wananchi zaidi ya 3,000 wakiwemo Morani waliokuwa na silaha za jadi kama marungu, sime na fimbo katika Kijiji cha Kiushin wilayani Arumeru wamejikusanya kukabili amri ya Mahakama ya Ardhi na Nyumba ya kutaka kufukuliwa kwa kuburi alilozikwa mkazi mwenzao wa eneo hilo. Morani wenye silaha za jadi... yaani marungu, sime na fimbo wakiandamana kuzuia Mahakama kufukua kaburi. Aidha, wananchi hao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Korti yaamuru maiti kufukuliwa

MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...

 

10 years ago

GPL

MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA

Wachimabji wa Kijiji cha Mandaka wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro wakifukua kaburi la Marehemu Stephen Assey  jioni ya jana kwa amri ya mahakama. Msalaba uliokuwepo kwenye kaburi hilo ukiwa pembeni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani