Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa Burkina Faso
Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa leo Burkina Faso
Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili ambao unakisiwa kuwa wa raisi wa zamani aliyeuawa Thomas Sankara utafukuliwa hii leo katika jaribio la kutaka kubainisha ikiwa ni wake.
Familia na marafiki wa rais Sankara wamekuwa na shauku iwapo mabaki hayo ni yake.
Bwana Sankara aliuawa wakati wa mapinduzi mwaka 1987.
Sankara alichukuwa uongozi baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1983.
Sankara alipinduliwa na Blaise Compaore ambaye...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 May
B.Faso:mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa
5 years ago
BBC18 May
Burkina Faso unveils 'corrected' Thomas Sankara statue
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
B Fasso:Mwili wa Sankara kufukuliwa
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
Ripoti:Thomas Sankara aliuwawa kinyama
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74550000/jpg/_74550410_t-shirt_afp.jpg)
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74564000/jpg/_74564223_t-shirt_afp.jpg)
Burkina row over Sankara exhumation
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/83209000/jpg/_83209169_sankara_afp.jpg)
Burkina begins Sankara exhumation
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/1313C/production/_86104187_sankara_afp.jpg)
Burkina's Sankara 'riddled with bullets'
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/81427000/jpg/_81427588_sankara_afp.jpg)
Burkina orders Sankara exhumation