MORANI WAGOMA KABURI KUFUKULIWA
![](http://api.ning.com:80/files/06WphArD*MsqiAHkrLsE6x6u5y3LL*hc2IfdJUF3pDsoHRRXjar5Vhmz4iUf02eXmXfN-3Y7NgKTzYCrxJDkqmubg1g0HC9e/morani.jpg?width=650)
Stori: Joseph Ngilisho, Arusha Wananchi zaidi ya 3,000 wakiwemo Morani waliokuwa na silaha za jadi kama marungu, sime na fimbo katika Kijiji cha Kiushin wilayani Arumeru wamejikusanya kukabili amri ya Mahakama ya Ardhi na Nyumba ya kutaka kufukuliwa kwa kuburi alilozikwa mkazi mwenzao wa eneo hilo. Morani wenye silaha za jadi... yaani marungu, sime na fimbo wakiandamana kuzuia Mahakama kufukua kaburi. Aidha, wananchi hao...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Flg-lHiuL4cVb3Ql5puIftfaAoY0m8uK9NwXpHCQiDyv4A58nJj2C4F73gm34OkS70VuJb7Ya-JL2fEfabfNnQY8HvCEzo58/FRONTIJUMAA.jpg?width=650)
KABURI LA BALLALI KUFUKULIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMLSVweh9BZ9YYRhMjmRLhO-mrrRvhwHZg8cIl1Y-9iA7-0DHGTGfsvTjFwkzDSuFYoycq02jD6oq7K1WQYd0IC/IMG20140908WA0011.jpg?width=650)
MAHAKAMA YAAMURU KABURI LA MUME KUFUKULIWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s72-c/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Breaking nyuzzzzz......Mahakama yaamuru kaburi la mume kufukuliwa kwa pingamizi la mke mkubwa dhidi ya mdogo kijiji cha mandaka wilaya ya moshi vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-30fHWSVpUrM/VA3LTT6fTrI/AAAAAAAGiAY/PqQZRTStY0c/s1600/IMG-20140908-WA0012.jpg)
Na Dixon Busagaga wa Globu
ya Jamii Kanda ya Kaskazini
Uamuzi wa kufukuliwa kwa kaburi hilo umefikiwa baada ya mke anayedaiwa kuwa ni wa ndoa wa marehemu Stephen Assey, Bi. Lucy Laurant kwenda mahakamani kuweka zuio la kuzikwa kwa marehemu katika eneo ilipo nyumba aliyokuwa akiishi na mke mdogo aliyefahamika kwa jina la Fortinata...
10 years ago
Daily News20 Dec
Morani cane woman for scolding son
Daily News
A MAASAI woman Naserian Pereiyoo (32) in critical condition after being beaten by a group of men, commonly referred to as 'Morani', as punhment for scolding her son who had just undergone traditional initiation. It reported that Pereiyoo scolded her son, ...
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
B Fasso:Mwili wa Sankara kufukuliwa
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Korti yaamuru maiti kufukuliwa
MGOGORO wa kugombea mwili wa marehemu, Stephen Assei (52) umechukua sura mpya baada ya askari polisi wenye silaha za moto wakiwemo askari kanzu kusimamia zoezi la ufukuaji wa kaburi na...
10 years ago
BBCSwahili25 May
B.Faso:mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa
10 years ago
StarTV25 May
Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa Burkina Faso
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/04/30/140430174606_sankara_640x360__nocredit.jpg)
Mwili wa Thomas Sankara kufukuliwa leo Burkina Faso
Ripoti za mahakama nchini Burkina Faso zinasema kuwa mwili ambao unakisiwa kuwa wa raisi wa zamani aliyeuawa Thomas Sankara utafukuliwa hii leo katika jaribio la kutaka kubainisha ikiwa ni wake.
Familia na marafiki wa rais Sankara wamekuwa na shauku iwapo mabaki hayo ni yake.
Bwana Sankara aliuawa wakati wa mapinduzi mwaka 1987.
Sankara alichukuwa uongozi baada ya mapinduzi ya mwaka wa 1983.
Sankara alipinduliwa na Blaise Compaore ambaye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZusTADv-vOMN*Qsu3V9K1abRMChmyRYU8Ha9jtPUba7Nnomx6tA2XWNkAaA73JC7Q-bh8fM*2OeIeSbfFuoOX0H5/PENNY.jpg?width=650)
PENNY: NIMECHUNGULIA KABURI