Zantel yazindua ofa ya msimu wa sikukuu kwa wateja wake
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin.
Kampuni ya simu ya Zantel leo imetangaza kuzindua ofa maalumu kwa ajili ya msimu wa sikukuku yenye lengo la kuwazawadia wateja wake muda wa maongezi bure na nyongeza ya asilimia 20% katika kila manunuzi ya vifurushi au muda wa maongezi wanayofanya kupitia huduma ya Ezypesa.
Ofa hii pia itamzawadia kila mteja wa Zantel anayefanya manunuzi ya muda wa maongezi usio chini ya shillingi elfu moja kuweza kupata dakika za bure za kupiga Zantel kwenda...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s72-c/1.jpg)
ZANTEL YAZINDUA OFA MPYA YA MUDA WA ZIADA KWA WATEJA WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Rgh1NJzj8CY/VifqajpCbzI/AAAAAAAIBjU/d9Q4PR8gjhc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q2KRoEyqomI/Vifqa6zeJ-I/AAAAAAAIBjc/duReSgBst2o/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ShB8hhoKY9Q/VifqepwkkwI/AAAAAAAIBjs/rbmV3ymB81U/s640/4.jpg)
KAMPUNI ya simu ya Zantel leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBshcbMDJ1AYQGQJvjqUE0uQu3raJZk7nMveapZOmQ-cBcBu-3rP*ix14V82nv0HR-m5qX3jp9dn7RBmaZ0vTX-U/2.jpg?width=650)
AIRTEL YAZINDUA OFA KABAMBE WAKATI WA MSIMU WA SIKUKUU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a0qj3YkET3U/VI_Yi4yR2yI/AAAAAAAG3dM/zNpVodTWbCE/s72-c/unnamed1m.jpg)
Airtel yazindua ofa kabambe ya simu wakati wa msimu wa sikukuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-a0qj3YkET3U/VI_Yi4yR2yI/AAAAAAAG3dM/zNpVodTWbCE/s1600/unnamed1m.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9Q4XFAnD0yE/VI_Yi8K4gMI/AAAAAAAG3dI/CJKKgwR_R64/s1600/unnamed1mm.jpg)
10 years ago
StarTV16 Dec
Airtel yazindua ofa maalum kwa wateja.
Na Lilian Mtono
Dar es Salaam
Kampuni ya simu za mkononi ya airtel imezindua ofa maalumu ya simu, inayoenda bega kwa bega na kuwazawadia wateja wake wakati wa msimu huu wa sikukuu za krismas na mwaka mpya.
Ofa hii itajumuisha simu za kisasa kwa bei nafuu pamoja, vifurushi vya muda wa maongezi na internet.
Uzinduzi wa ofa unakuja ukiwa ni sehemu ya mpango wa airtel wa kutoa huduma bora zaidi na kuwawezesha wateja wake kufaidika hasa kwenye kipindi hiki cha sikukuu.
Chini ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b6-3nGbVi0Q/XlaR5UgS5HI/AAAAAAAEFz8/HTXgsTASh-8vqILkIW6e74ZAXeiXYhTggCLcBGAsYHQ/s72-c/2dec0f48-c958-40c0-b6b4-572f1efcbd7b.jpg)
Zantel yazindua BongaMpakaBasi kuwawezesha wateja kupiga simu mitandao yote kwa gharama nafuu
Huduma hiyo, itawafanya wateja wa Zantel kupiga simu kwenda mitandao mingine kwa gharama ileile ya kupiga ndani ya mtandao kupitia kifurushi kimoja cha ‘BongaMpakaBasi’.Bidhaa hiyo inatajwa kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii hapa nchini.
Akizungumza wakati wa uzinduzi...
10 years ago
MichuziLG YATOA ZAWADI MBALIMBALI KWA WATEJA WAKE WAKATI WA SIKUKUU YA SABASABA
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Kampuni ya LG yatoa zawadi mbalimbali kwa wateja wake ndani ya sikukuu ya sabasaba
Mkufunzi mwandamizi toka kampuni ya LG, Elizabeth Morris, (Kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya microwave ambayo inatolewa kama zawadi kwa wateja wanaonunua friji za kisasa za LG. Tukio hilo lilifanyika katika banda la LG ndani ya viwanja vya maonyesho ya 39 ya biashara kimataifa maarufu kama Sabasaba, wa pili kushoto ni meneja wa tawi la LG Mtaa wa Nkurumah, Yasin Lodhi .
Bw. Festo Sakaya akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea zawadi ya Microwave ya kisasa toka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3X9Fs0BkuS6xKq-WJtTu6Uq29zwz0*-3rY6rdfnyCMC7mtolL4xRGHrdkTOMPhRxQ9f41ZHWaWCUEEIxxSXbgPi/IMG_7393.jpg)
AIRTEL YAZINDUA OFFA KABAMBE YA SMARTFONIKA KWA WATEJA WAKE
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo yazindua chapa mpya LIVE IT, LOVE IT kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismas
Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyanja, akizungumza na waandishi wa habari wakati akimkaribisha Meneja Mkuu wa Tigo kuzungumza na wanahabari.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa chapa mpya yenye kauli mbinu ya ‘Live it, love it’ itakayoimarisha nafasi ya mbunifu anayeongoza kwa ubunifu wa kidigitali nchini. Kulia ni Meneja Chapa wa Tigo, William Mpinga.
Meneja...