Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE

Mdau akiwa kwenye red carpet Wageni wakuu kwenye red carpet…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake

MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Usiku wa Mwambao Asilia Aprili 19

Na Andrew Chale KUNDI la Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika onesho maalumu la ‘Usiku wa Mwambao Asilia’, ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam, Aprili 19. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mlezi wa Heshima wa kundi la Dar Modern Taarab, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alisema wadau wa muziki wa taarabu watafurahia usiku huo wa Mwambao Asilia kutoka kwa wanamuziki nguli wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Salim kushuhudia Usiku wa Mwambao Asilia leo

KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika – AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku...

 

11 years ago

GPL

DK. SALIM KUSHUHUDIA USIKU WA MWAMBAO ASILIA JUMAMOSI HII APRIL 19

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim. Na Andrew Chale
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku wa Mwambao asilia utakaosindikizwa na bendi za  Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni...

 

10 years ago

Bongo5

Asia wa ‘Leo’ atengeneza app ya simu ili kuwawezesha mashabiki kupata muziki wake kwa urahisi

Msanii wa muziki anayetamba na wimbo wa ‘Leo’ Asia Mjun ametengeneza app yake binafsi ‘Asia Mjun’ itayowawezesha mashabiki wa muziki wake kupata muziki wake kwa urahisi. Akizungumza jana na radio Free Africa, Asia amesema hii itawasaidia mashabiki wake kupata kazi zake pamoja na profile yake ya muziki. “Mimi kama msanii wa kwanza naweza nikasema hivyo […]

 

10 years ago

Mwananchi

Muziki una faida kuzidi dansi na starehe

Hamu ya baadhi ya Waafrika kukimbilia Uzunguni imechemka tena.

 

9 years ago

Global Publishers

Kitale: Uteja una mwisho wake

DSC_1545Mkali wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’.

Ibrahim Mussa, Dar es Salaam

MKALI wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’ amefunguka kuwa siku zote amekuwa akipenda kuigiza kama mtu anayetumia madawa ya kulevya, anaamini kuwa itafika kipindi atakuja na mtindo mwingine ambao utakuwa gumzo zaidi.

Akizungumza na Mikito Jumatano, Kitale alisema amekuwa akitumia mtindo huo kwa ajili ya kutoa somo kwa vijana wa Kitanzania namna vijana wanavyoathirika na utumiaji wa madawa hayo huku...

 

9 years ago

Bongo5

Adele akiri kuwa mtoto wake si shabiki wa muziki wake

Licha ya muziki wake kupendwa na idadi kubwa ya mashabiki mbalimbali duniani, mwanamuziki wa Uingereza, Adele amekiri kuwa mtoto wake wa kiume si shabiki wa muziki wake. Akiwa kwenye mahojiano na BBC Radio 2, Adele aliulizwa kama huwa anamwimbia mtoto wake wa miaka mitatu aitwaye Angelo, alijibu kuwa hua anamwiambia lakini hapendi nyimbo zake. Mshindi […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani