Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DK. SALIM KUSHUHUDIA USIKU WA MWAMBAO ASILIA JUMAMOSI HII APRIL 19

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim. Na Andrew Chale
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku wa Mwambao asilia utakaosindikizwa na bendi za  Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Salim kushuhudia Usiku wa Mwambao Asilia leo

KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika – AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku...

 

11 years ago

Michuzi

Usiku wa Mwambao Asilia Aprili 19

Na Andrew Chale KUNDI la Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika onesho maalumu la ‘Usiku wa Mwambao Asilia’, ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam, Aprili 19. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mlezi wa Heshima wa kundi la Dar Modern Taarab, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alisema wadau wa muziki wa taarabu watafurahia usiku huo wa Mwambao Asilia kutoka kwa wanamuziki nguli wa...

 

11 years ago

GPL

ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE

Mdau akiwa kwenye red carpet Wageni wakuu kwenye red carpet…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake

MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi

Darasa la Kiswahili hapa Washington DC na vitongoji vyake linaratibiwa na Jumuiya ya waTanzania ya hapa DMV
Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni
Anwani ni...
1700 April Lane,
 Silver Spring, MD 20904
KARIBUNI NYOTE

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU DMV JUMAMOSI APRIL 11, 2015

Familia ya Stephen na Esther Msungu wanapenda kuwakaribisha kwenye misa ya kumbukumbu ya wapendwa wao baba yake Stephen Mzee Peter Dremus Msungu aliyefariki Tanzania February 20,2015, na kaka yake Esther, Gerald Arthur Natumwa aliyefariki Tanzania March 15,2015.Misa itafanyika April 11,2015 kuanzia saa 10 jioni (4) katika kanisa la St. Edward Roman Catholic Church.Anuani ya kanisa ni901 Poplar Grove StBaltimore Md 21216Kwa maelezo zaidi, unaweza wasiliana naStephen Msungu 240 476 9056.Esther...

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMBUKUMBU DMV LEO JUMAMOSI APRIL 11, 2015

Familia ya Stephen na Esther Msungu wanapenda kuwakaribisha kwenye misa ya kumbukumbu ya wapendwa wao baba yake Stephen Mzee Peter Dremus Msungu aliyefariki Tanzania February 20,2015, na kaka yake Esther, Gerald Arthur Natumwa aliyefariki Tanzania March 15,2015.Misa itafanyika April 11,2015 kuanzia saa 10 jioni (4) katika kanisa la St. Edward Roman Catholic Church.Anuani ya kanisa ni901 Poplar Grove StBaltimore Md 21216Kwa maelezo zaidi, unaweza wasiliana naStephen Msungu 240 476 9056.Esther...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani