Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usiku wa Mwambao Asilia Aprili 19

Na Andrew Chale KUNDI la Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika onesho maalumu la ‘Usiku wa Mwambao Asilia’, ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam, Aprili 19. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mlezi wa Heshima wa kundi la Dar Modern Taarab, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alisema wadau wa muziki wa taarabu watafurahia usiku huo wa Mwambao Asilia kutoka kwa wanamuziki nguli wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Salim kushuhudia Usiku wa Mwambao Asilia leo

KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika – AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku...

 

11 years ago

GPL

DK. SALIM KUSHUHUDIA USIKU WA MWAMBAO ASILIA JUMAMOSI HII APRIL 19

Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim. Na Andrew Chale
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika - AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku wa Mwambao asilia utakaosindikizwa na bendi za  Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake

MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

GPL

ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE

Mdau akiwa kwenye red carpet Wageni wakuu kwenye red carpet…

 

10 years ago

CloudsFM

Christian Bella kufanya usiku wa masauti,Escape One, Aprili 18

MWANAMUZIKI Christian Bella anatarajia kufanya shoo kubwa aliyoipa jina la Usiku wa Masauti, Aprili 18 Mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bella alisema katika usiku huo, pia atatambulisha video na audio ya wimbo wake mpya uitwao Nashindwa ambao tayari upo hewani.

“Natarajia kufanya shoo kubwa ambayo itanipa fursa ya kuwakutanisha wasanii wenzangu ambao wana nia safi ya kufanya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha kubwa la taarab ‘Usiku wa Mswahili’ kufanyika Ijumaa hii ya Aprili 24

ijumaa hii

Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’  kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam.

“Karibuni katika  Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa kiingilio cha sh 10,000 na sh 20,000 kwa VIP”.

Aidha, mwagwiji...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24‏

Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la 'Usiku wa Mswahili' kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam. "Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa...

 

11 years ago

Michuzi

MISS TANGA 2014 WATEMBELEA MWAMBAO FM

Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 jana walitembelea kituo cha matangazo cha redio Mwambao Fm cha jijini Tanga kujionea jinsi kituo hicho kinavyorusha matangazo yake.
Wakiwa katika kituo hicho, warembeo hao walipata fursa ya kuzungumzia shindano hilo huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi siku ya jumamosi ya tarehe 21/06/2014 ndani ya Mkonge Hotel kuanzia saa moja usiku.
Baadaye leo washiriki hao watatembelea kituo cha redio cha Breeze Fm pia cha jijini Tanga na kesho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani