Usiku wa Mwambao Asilia Aprili 19
![](http://1.bp.blogspot.com/-2zZVaFG9BKA/U0xcr-9KyII/AAAAAAAFaxo/55TPhG-4T9E/s72-c/DAR-MODERN.jpg)
Na Andrew Chale
KUNDI la Dar Modern Taarab na Nadd Ikhwan (Malindi), wanatarajiwa kutoa burudani ya aina yake katika onesho maalumu la ‘Usiku wa Mwambao Asilia’, ndani ya ukumbi wa Travertine, Magomeni jijini Dar es Salaam, Aprili 19.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mlezi wa Heshima wa kundi la Dar Modern Taarab, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, alisema wadau wa muziki wa taarabu watafurahia usiku huo wa Mwambao Asilia kutoka kwa wanamuziki nguli wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Dk. Salim kushuhudia Usiku wa Mwambao Asilia leo
KATIBU Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (OAU, sasa Umoja wa Afrika – AU), Dk. Salim Ahmed Salim, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika onesho maalum la Usiku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1ygck9z1r4CEYKIEh7MqQqViT-ysp4jYaYctMT-ag5ROWc4tkW3QPz*DQXn1jPnzhArxM83dHrOHL0wsjo8hGuctSkLirsqD/SalimSalimAhmed.jpg?width=650)
DK. SALIM KUSHUHUDIA USIKU WA MWAMBAO ASILIA JUMAMOSI HII APRIL 19
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Asia Idarous: Muziki wa mwambao asilia una mguso wake
MWANAMITINDO mkongwe na mdau wa muziki wa mwambao asilia, Asia Idarous Khamsin, amesema muziki huo una mguso wake hivyo jamii inatakiwa kuupokea na kuuenzi. Asia ambaye pia ni Mkurugenzi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2N4gjkMG2EF51TnAjvt8y1UFsH4qsGrJsAaV6dZ*hBdMbPW02ruJp-7Ht6JK8ulmFa5yeW80jJOzILB2YVmJYpM/wadauwakiwakwenyeredcarpet.jpg?width=650)
ASIA IDALOUS: MUZIKI WA MWAMBAO ASILIA UNA MGUSO WAKE
10 years ago
CloudsFM02 Apr
Christian Bella kufanya usiku wa masauti,Escape One, Aprili 18
MWANAMUZIKI Christian Bella anatarajia kufanya shoo kubwa aliyoipa jina la Usiku wa Masauti, Aprili 18 Mwaka huu ndani ya Ukumbi wa Escape One, uliopo Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Bella alisema katika usiku huo, pia atatambulisha video na audio ya wimbo wake mpya uitwao Nashindwa ambao tayari upo hewani.
“Natarajia kufanya shoo kubwa ambayo itanipa fursa ya kuwakutanisha wasanii wenzangu ambao wana nia safi ya kufanya...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Tamasha kubwa la taarab ‘Usiku wa Mswahili’ kufanyika Ijumaa hii ya Aprili 24
Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’ kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam.
“Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa kiingilio cha sh 10,000 na sh 20,000 kwa VIP”.
Aidha, mwagwiji...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/ijumaa-hii.jpg?width=650)
TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_cc-Gkcp4PA/U6FIxOwxl1I/AAAAAAAFraY/3NEVLg6Gnr8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
MISS TANGA 2014 WATEMBELEA MWAMBAO FM
Wakiwa katika kituo hicho, warembeo hao walipata fursa ya kuzungumzia shindano hilo huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi siku ya jumamosi ya tarehe 21/06/2014 ndani ya Mkonge Hotel kuanzia saa moja usiku.
Baadaye leo washiriki hao watatembelea kituo cha redio cha Breeze Fm pia cha jijini Tanga na kesho...