Tamasha kubwa la taarab ‘Usiku wa Mswahili’ kufanyika Ijumaa hii ya Aprili 24
Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’ kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam.
“Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa kiingilio cha sh 10,000 na sh 20,000 kwa VIP”.
Aidha, mwagwiji...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/ijumaa-hii.jpg?width=650)
TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Usiku wa Old Is Gold wahamia Thai Village - Spice Modern Taarab kuendeleza makali Jumapili hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-kuQehX9sBjU/VIM4mNTjKEI/AAAAAAAG1mI/9YHT7dSkM84/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
NA ANDREW CHALEUSIKU wa ‘Old Is Gold’ na Spice Modern Taarab, unatarajiwa kurindima kwa kishindo Jumapili ya kesho Desemba 7, ndani ya ukumbi wa Thai Village uliopo Masaki, jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Fabak Fashions, Asia Idarous Khamsin, mwandaaji na mdhamini wa onyesho hilo, mashabiki wa Old Is Gold watakuwa wakikutana katika kiota hicho kipya cha burudani kila jumapili kukumbushana enzi.“Kwa kiingilio cha sh 5,000 tu, wadau watafurahia shoo kabambe kutoka kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0VKKYha-3Kk/VGnBsHZHEFI/AAAAAAAGxvE/_msJLpD2_DI/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Tamasha kubwa la SHIWATA kufanyika Decemba 25,2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-0VKKYha-3Kk/VGnBsHZHEFI/AAAAAAAGxvE/_msJLpD2_DI/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema katika wiki ya maadhimisho hayo, Desemba 24 sherehe hizo zitatanguliwa na ugawaji wa nyumba 38 zilizojengwa na wanachama wa SHIWATA kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s72-c/unnamed.jpg)
Tamasha kubwa la watoto kufanyika Dar May 31 na June 1
![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s1600/unnamed.jpg)
Hili ni tamasha kubwa zaidi litakalowakutanisha watoto wengi wa jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani kufurahia kwa pamoja michezo wanayoipenda zaidi na pia...
10 years ago
MichuziTAMASHA KUBWA LA FILAMU KUFANYIKA JIJINI TANGA
Msanii Rose ndauka akizungumza na waandishi wa habari juu ya ushiriki wao kwenye tamasha kubwa la filamu litakalofanyika jijini Tanga jumamosi ya wiki hii na kuwashirikisha wasanii...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s72-c/2.jpg)
TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-je1plvSGRo8/VDPYwqUpTyI/AAAAAAAAX3I/cC_rKPkMXs0/s1600/3.jpg)
BOFYA...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s72-c/AfricanNight+(1).png)
SAFARI CLUB IJUMAA HII MAY MOSI NI USIKU MAALUM WA MUZIKI WA WAZEE
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGEWazee tuzikumbuke enzi za Banda Beach Kigamboni
Karibuni sana Ijuma May MosiSafari Club
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Freconic...