Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI KUFANYIKA CCM KIRUMBA, MWANZA DESEMBA 13-15, 2013

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LAZIDI KURINDIMA NDANI YA CCM KIRUMBA, MWANZA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd na Mwalimu wa Ujasiriamali nchini, Eric James Shigongo akiwasalimia wakazi wa Mwanza leo. Eric Shigongo akimkaribisha mkufunzi wa masuala ya ujasiriamali, James Mwang'amba aongee na wakazi wa Mwanza leo.…

 

11 years ago

GPL

KUTOKA JIJINI MWANZA KATIKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LEO

Wananchi wakijipatia huduma kutoka kwa wadhamini wa Tamasha la Ujasiriamali linalofikia kilele chake leo hii jijini Mwanza. Wananchi wakijipatia CD za Eric Shigongo na James Mwang'amba zenye mafunzo ya ujasiriamali. (PICHA: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA /…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA KUTOKA TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LINALOENDELEA HIVI SASA

Waimbaji wa kwaya ya Gosheni wakitumbuiza katika ufunguzi wa Tamasha kubwa la Ujasiriamali linalorindima kwa siku tatu ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kuanzia leo.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Rebecca Malope atikisa jiji la Mwanza mwendelezo wa Tamasha la Pasaka CCM Kirumba

1

Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika Kusini Rebecca Malope akifanya mambo makubwa mbele ya mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza jioni hii katika tamasha kubwa la Pasaka linaloandaliwa na kampuni ya Msama Promotion chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, baada ya lile la Shinyanga ambalo lilifanyika jana kwenye uwanja wa Kambarage mkoani humo, watu wengi wamefurika katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo pia Mbunge wa jimbo la Sengerema (CCM) Mh.William...

 

11 years ago

Dewji Blog

Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza

02 (1)

Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa  tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la Handeni Kwetu kufanyika Desemba 13

TAMASHA kubwa la umataduni linalojulikana kama 'Handeni Kwetu' limepangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Katika tamasha hilo linalofanyika kwa mara pili, burudani mbalimbali za ngoma za asili zinatarajiwa kuonekana jukwaani, ambapo pia vikundi kutoka nje ya Handeni, mkoani Tanga navyo vitaalikwa kwa ajili ya kwenda kutoa burudani wilayani humo.
Akizungumzia hilo, jijini Dar es Salaam, Mratibu Mkuu wa tamasha hilo, Kambi Mbwana, alisema...

 

10 years ago

Michuzi

Tamasha la Handeni Kwetu lasogezwa mbele, sasa kufanyika Desemba 20

TAMASHA la Utamaduni la NSSF Handeni Kwetu, sasa litafanyika Desemba 20, badala ya Desemba 13, kama ilivyotangazwa hapo awali, huku sababu kubwa ikiwa ni kuwaachia Watanzania washiriki katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa, utakaofanyika Jumapili ya Desemba 14 nchini kote.Mratibu Mkuu wa Tamasha la NSSF Handeni Kwetu 2014, pichani akizungumza jambo katika tamasha la mwaka jana lililofanyika kwa mafanikio makubwa wilayani Handeni, mkoani Tanga. Akizungumzia hilo leo mjini...

 

9 years ago

Michuzi

TAMASHA LA KUMSHUKURU MUNGU SASA KUFANYIKA DESEMBA 25 DIAMOND JUBILEE.

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akifafanua jambo kwa umakini mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati wa Uchaguzi Mkuu litakalofanyika Desemba 25.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki kuhusu maandalizi ya tamasha la kumshukuru Mungu kwa amani na utulivu wakati...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA TAMASHA LA UJASIRIAMALI JIJINI MWANZA LEO

Watu waliojitokeza kwa wingi siku ya leo kujifunza elimu ya ujasiriamali. Mwalimu wa Ujasiriamali James Mwang'amba akijibu maswali ya wakazi wa jiji la Mwanza. Masanja mkandamizaji (katikati ).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani