TAMASHA KUBWA LA FILAMU KUFANYIKA JIJINI TANGA
Meneja masoko wa kinywaji cha GrandMalt Tanzania Fimbo Buttala akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Kebbys Hotel juu ya uzinduzi wa Tamasha la Filamu jijini Tanga kuanzaia jumamosi ya Tarehe 04/10/2014 hadi 08/10/2014 kushoto ni Sinle Mtambalike, Ray Kigosi na kulia ni Rose Ndauka,Shamsa Ford.
Msanii Rose ndauka akizungumza na waandishi wa habari juu ya ushiriki wao kwenye tamasha kubwa la filamu litakalofanyika jijini Tanga jumamosi ya wiki hii na kuwashirikisha wasanii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.
Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Freconic...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s72-c/unnamed.jpg)
Tamasha kubwa la watoto kufanyika Dar May 31 na June 1
![](http://1.bp.blogspot.com/-H8dqsRGd1c4/U3zNQZzOzXI/AAAAAAAFkQU/5zB5bBeIk-U/s1600/unnamed.jpg)
Hili ni tamasha kubwa zaidi litakalowakutanisha watoto wengi wa jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani kufurahia kwa pamoja michezo wanayoipenda zaidi na pia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0VKKYha-3Kk/VGnBsHZHEFI/AAAAAAAGxvE/_msJLpD2_DI/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Tamasha kubwa la SHIWATA kufanyika Decemba 25,2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-0VKKYha-3Kk/VGnBsHZHEFI/AAAAAAAGxvE/_msJLpD2_DI/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema katika wiki ya maadhimisho hayo, Desemba 24 sherehe hizo zitatanguliwa na ugawaji wa nyumba 38 zilizojengwa na wanachama wa SHIWATA kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s72-c/2.jpg)
TAMASHA KUBWA LA KARIBU MUSIC FESTIVAL KUFANYIKA BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jNOKNGwVgJc/VDPYwXGGChI/AAAAAAAAX3E/FnjaoiSJmIY/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-je1plvSGRo8/VDPYwqUpTyI/AAAAAAAAX3I/cC_rKPkMXs0/s1600/3.jpg)
BOFYA...
10 years ago
Dewji Blog23 Apr
Tamasha kubwa la taarab ‘Usiku wa Mswahili’ kufanyika Ijumaa hii ya Aprili 24
Wazazi, walezi wanajamii na wadau mbalimbali wanatarajiwa kukutana kwenye tamasha maalum la taarab lililopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’ kwa lengo la kukusanya fedha za kuchangia ununuzi wa madawati, linatarajiwa kufanyika usiku wa Ijumaa ya Aprili 24, katika shule ya Tambaza, iliyopo Ilala jijii Dar es Salaam.
“Karibuni katika Usiku wa Mswahili Ijumaa hii ya Aprili 24 ndani ya ukumbi wa Tambaza, kuanzia saa moja usiku. kwa kiingilio cha sh 10,000 na sh 20,000 kwa VIP”.
Aidha, mwagwiji...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yKl4rowHyKg/U5lRt1WEzeI/AAAAAAAFp7Q/v7eNHguCTWQ/s72-c/S1.jpg)
tamasha la filamu Tanzania kufanyika mkoani Mtwara Idd Pili
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa muda wa wiki moja kuanzia sikukuu ya idd Pili hadi Agosti 5 mwaka huu. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana , Meneja Masoko wa TBL, Fimbo Butallah, alisema kuwa tamasha la mwaka huu litafanyika mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mashujaa na hii...
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HANDENI KWETU KUFANYIKA DESEMBA 31 WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-r8fysY5OXRo/VAQW4UyzX0I/AAAAAAAAIQ0/bnvYT0qN5zo/s1600/handeni%2B1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/ijumaa-hii.jpg?width=650)
TAMASHA KUBWA LA TAARAB 'USIKU WA MSWAHILI' KUFANYIKA IJUMAA HII YA APRILI 24