MISS TANGA 2014 WATEMBELEA MWAMBAO FM
![](http://3.bp.blogspot.com/-_cc-Gkcp4PA/U6FIxOwxl1I/AAAAAAAFraY/3NEVLg6Gnr8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Washiriki wa Nice & Lovely Miss Tanga 2014 jana walitembelea kituo cha matangazo cha redio Mwambao Fm cha jijini Tanga kujionea jinsi kituo hicho kinavyorusha matangazo yake.
Wakiwa katika kituo hicho, warembeo hao walipata fursa ya kuzungumzia shindano hilo huku kila mmoja akitamba kuibuka mshindi siku ya jumamosi ya tarehe 21/06/2014 ndani ya Mkonge Hotel kuanzia saa moja usiku.
Baadaye leo washiriki hao watatembelea kituo cha redio cha Breeze Fm pia cha jijini Tanga na kesho...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI MISS TANGA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-STypzuYFuj0/U5_tpmHUI1I/AAAAAAAFrKI/ZS5cwD3Nx-U/s72-c/images+%25281%2529.jpg)
MKUU WA MKOA TANGA MGENI RASMI NICE & LOVELY MISS TANGA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s72-c/unnamed+(2).jpg)
NICE & LOVELY MISS TANGA 2014 WAFANYA USAFI OFISI YA MKUU WA MKOA TANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gwauval1voc/U6LQQRJw4lI/AAAAAAAFrtY/iMN2kv1DR2M/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yV436Qx_Lfw/U6LQVDt_48I/AAAAAAAFrtg/4T7j87GsFAc/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_fvF8g0djMo/U6LQVCmDiqI/AAAAAAAFrtk/Q3n9n9OUSuo/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
GPLMISS USTAWI 2014 WATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS
10 years ago
GPLWASHIRIKI MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Miss Tanga 2014 wafundwa
KATIKA kuelekea kinyang’anyiro cha kumsaka Nice&Lovely Miss Tanga 2014, washiriki wametakiwa kujiamini na kuongeza juhudi ili waweze kufanya vizuri katika fainali za shindano hilo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mkonge,...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Miss Tanga 2014 kuchomoka na Vitz
MSHINDI wa Shindano la kuwania taji la ‘Nice and Lovely Miss Tanga 2014’ linalotarajiwa kufanyika Juni 21 kwenye ukumbi wa Mkonge Hotel jijini humo, atajinyakulia gari aina ya Toyota Vitz...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Diana ndiye Miss Tanga 2014
MREMBO Diana Theojackson amenyakua taji ya Nice &Lovely Miss Tanga 2014 na kuzawadiwa gari aina ya Toyota Vitz lenye thamani ya sh milioni kumi. Shindano hilo lilifanyika juzi usiku na...
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Washiriki wa Miss Tanzania 2014 watembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimajaro — KINAPA
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014 wametembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni warembo hao wakipiga picha na mdau mkubwa wa masuala ya urembo mkoani Kilimajaro, Athena Mawalla wa mgahawa wa Meku’s Bistro wakati warembo hao walipomtembelea wakiwa njiani kwenda KINAPA.
Warembo wakiwa katika gari njiani kuelekea KINAPA.
Afisa Habari wa Kamati ya Miss Tanzania, Hidan...