Kushuka kwa bei ya Dhahabu, Kampuni zaaswa kutopunguza wafanyakazi.
Na Shaabani Alley,
Shinyanga.
Wakati bei ya dhahabu katika soko la dunia ikiwa imeshuka, Serikali imetoa wito kwa Kampuni ya uchimbaji wa Dhahabu ya ACACIA kutopunguza wafanyakazi kwenye migodi yake ukiwemo wa Buzwagi wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Bei ya Dhahabu kwa mwaka 2014 imekuwa chini ya dola 1,300 kwa ounce moja kwa muda mrefu na kufikia Novemba bei ilikuwa 1,129 kwa ounce moja hali ambayo imeleta mtikisiko wa uendeshaji wa makampuni ya uchimbaji wa Dhahabu.
Ilikuwa ni siku...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s72-c/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s640/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2lCKfAIwYj0/VYjlSvLgF0I/AAAAAAAARaQ/nogF8I7UKlc/s640/IMG_2182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yb7xg6iZgrw/VYjlVL7-cwI/AAAAAAAARag/tj6IN7g_v34/s640/IMG_2184%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CdOZt5LH4iY/VYjlYU5sZnI/AAAAAAAARas/Lm4coaebRFw/s640/IMG_2187%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BHR0Y4N4KV8/VYjlH4afiEI/AAAAAAAARZo/w8FySszIGPw/s640/IMG_2131%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6fEyV_-4Bz0/VYjlHDbiY0I/AAAAAAAARZg/bdHy2ZuldBY/s640/IMG_2132%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
StarTV07 Jan
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya Mafuta.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petrol, Dizel na ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja.
comprar kamagra baratoKushuka kwa bei hizo kunatokana na kuporomoka kwa thamani ya dola katika soko la dunia hali iliyosababisha bei ya mafuta kuwa dola 60 kwa pipa moja badala ya dola 100 ya awali.
Akitangaza kushuka kwa bei hizo Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Felix Ngamlagosi amesema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KUSHUKA KWA BEI YA MAZAO KUSIWAKATISHE TAMAA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PDhirsT64-g/XvRndJfCReI/AAAAAAALvWE/YzrzU4pk7K0QcQMJlRcQQL1p3xcYMl3SQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Amesema Serikali inaendelea kulifanyia kazi hilo na kwamba bei ya mazao nchini itaimarika baada ya kuongezeka kwa ujenzi wa viwanda vya kuchakata mazao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nqqwi-P4Www/XusMi8PnJUI/AAAAAAALuX0/k0WRPcszNeMyM2-WobGzHwoiFBPN3aSyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2FhokAA68-s/Xkz60Yn8kXI/AAAAAAAAWA8/ylXoa1ODAzspyJ-vwirf1_XePuv-yiZ9wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8937.jpg)
WAZIRI HASUNGA ATANGAZA KUSHUKA KWA BEI YA MBOLEA YA KUKUZIA (UREA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2FhokAA68-s/Xkz60Yn8kXI/AAAAAAAAWA8/ylXoa1ODAzspyJ-vwirf1_XePuv-yiZ9wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8937.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HyrI60EgK4c/Xkz7R9ZS3nI/AAAAAAAAWBM/_QAsWmoNlvovVVdHWyII3psYfsK4mJklQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8929.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-En-GJt1Pin4/Xkz615KbglI/AAAAAAAAWBA/YFbY0fe-MmAzhPU-UGJ2pEV8cWssaKc4gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_8926.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YRV3Lv4YkEL9wQq28rlqWAEVT*qTm10HawFbAD7nNCsrVwcpndlZnpwwA-qYrRCoJysNr5*u2NqBoEWEaOk64YCDU1YZ8KY8/baiskeli.jpg?width=650)
BAISKELI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU YAZINDULIWA UINGEREZA, BEI YAKE MILIONI 676.5
10 years ago
Habarileo17 Sep
Bei ya umeme kushuka
SERIKALI imesema inatarajia kuondoa mitambo yote inayotumia mafuta katika kuzalisha umeme ifikapo Januari mwakani. Hali hiyo itaokoa Sh trilioni 1.6 kwa mwaka, lakini pia kuwapa Watanzania umeme wa uhakika na wa gharama nafuu.
11 years ago
Habarileo22 Jul
Bei ya mafuta kushuka
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza mchakato wa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uingizaji wa mafuta nchini. Hatua hiyo itawezesha pia bei ya nishati hiyo nchini kushuka.
10 years ago
Habarileo12 Feb
Umeme kushuka bei
BAADA ya kushuka kwa bei ya mafuta nchini, wakati wowote kuanzia leo Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) linatarajiwa kutangaza bei mpya za umeme ambazo zitakuwa na unafuu kwa wananchi.