Jengo laporomoka na kuwaua watu Nigeria
Watu kadhaa wahofiwa kufariki mjini Lagos Nigeria baada ya jengo moja linalohusishwa na muhubiri mashuhuri kuanguka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGhEnDqfpxZqkVjKs7GXPX9wNtohxUiZtKWLPFUhnaYWZ-FgeVpsKC-EPJKUKT2No-F3r8X0ohvXsJcKQ6Mfz9E*/44.jpg?width=650)
JENGO LA KIHISTORIA LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR
Jengo moja la gorofa laporomoka huko Zanzibar katika eneo la kihistoria Jaws Corner ndani ya manispaa ya mji mkongwe Zanzibar. Taarifa zinasema wananchi wa karibu na eneo hilo wakishirikiana na vikosi maalumu vya serikali vinaendelea kufanya jitihada mbali mbali katika eneo hilo ikiwemo kuhakikisha hakuna athari zaidi zitakazoweza kutokea. Baadhi ya shuhuda mmoja ameiambia mazrui media kuwa watu wana wasiwasi juu ya uwepo wa...
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea
Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Akiri kuwaua watu 42 nchini Brazil
Polisi nchini Brazil wamemkamata mwanaume aliyekiri kuwaua watu 42 katika kipindi cha miaka kumi mjini Rio de Janeiro kwa sababu alipenda kuua
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC
watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Boko Haram ladaiwa kuwaua watu laki moja
Sasa imebainika kuwa wanamgambo wa kiislamu kazkazini mwa Nigeria waliwaua zaidi ya watu laki moja katika jimbo la Borno.
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Jengo labomoka na kuua watu 17 Uchina
Jengo la ghorofa mbili limebomoka katika mkoa wa Henan, katikati mwa Uchina na kuua wafanyakazi mjengo 17 na kujeruhi wengine 23.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1R1gqINM7byAw4AxJdQ*t2dTxtf6RNHYdMaqCGdI6CYsVCxfzGXcgP-czOYH1XmvTQuusL8kkHxgLL5VJPMM8bJigJWPsz-4/IMG20150102WA0003.jpg?width=650)
JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR
Kikosi cha Uokoaji kikitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi katika eneo la tukio.…
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A6Vm_ltNkH8/Xu0CwV7AlGI/AAAAAAALuq8/A9Vk0sKUUc4lest2ieD50muK5oIGL2v4QCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-2048x1365.jpg)
CUAMM YAJENGA JENGO LA HUDUMA KWA WATU WENYE VVU SIMIYU
![](https://1.bp.blogspot.com/-A6Vm_ltNkH8/Xu0CwV7AlGI/AAAAAAALuq8/A9Vk0sKUUc4lest2ieD50muK5oIGL2v4QCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-2048x1365.jpg)
Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Padri Kizito Nyanga (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Huduma za tiba na matunzo kwa watuwanaoishi na Virusi vya Ukimwi (CTC) Juni 18, 2020 lililojengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la Kiserikali la Doctors With Africa- CUAMM kupitia mradi wa Test and Treat; katika Zahanati ya Old Maswa inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga (Kulia) Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt....
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Daraja laporomoka Brazil
Watu wawili wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na Daraja mjini Belo Horizonte
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania