Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jengo laporomoka na kuwaua watu Nigeria

Watu kadhaa wahofiwa kufariki mjini Lagos Nigeria baada ya jengo moja linalohusishwa na muhubiri mashuhuri kuanguka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JENGO LA KIHISTORIA LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR‏

Jengo moja la gorofa laporomoka huko Zanzibar katika eneo la kihistoria Jaws Corner ndani ya manispaa ya mji mkongwe Zanzibar. Taarifa zinasema wananchi wa karibu na eneo hilo wakishirikiana na vikosi maalumu vya serikali vinaendelea kufanya jitihada mbali mbali katika eneo hilo ikiwemo kuhakikisha hakuna athari zaidi zitakazoweza kutokea. Baadhi ya shuhuda mmoja ameiambia mazrui media kuwa watu wana wasiwasi juu ya uwepo wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashua yazama na kuwaua watu 9 Guinea

Mashua moja imezama kwenye mto moja nchini Guinea ambapo watu tisa wameaga dunia huku wengine kadha wakiwa hawajulikani waliko.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akiri kuwaua watu 42 nchini Brazil

Polisi nchini Brazil wamemkamata mwanaume aliyekiri kuwaua watu 42 katika kipindi cha miaka kumi mjini Rio de Janeiro kwa sababu alipenda kuua

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi wa ADF wadaiwa kuwaua watu 20 DRC

watu wanaokisiwa kuwa wanachama wa kundi la waasi kutoka Uganda wamefanya mashambulizi nchini DRC na kuwaua watu 20

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram ladaiwa kuwaua watu laki moja

Sasa imebainika kuwa wanamgambo wa kiislamu kazkazini mwa Nigeria waliwaua zaidi ya watu laki moja katika jimbo la Borno.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jengo labomoka na kuua watu 17 Uchina

Jengo la ghorofa mbili limebomoka katika mkoa wa Henan, katikati mwa Uchina na kuua wafanyakazi mjengo 17 na kujeruhi wengine 23.

 

10 years ago

GPL

JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR

Kikosi cha Uokoaji kikitoa huduma ya kwanza kwa majeruhi katika eneo la tukio.…

 

5 years ago

Michuzi

CUAMM YAJENGA JENGO LA HUDUMA KWA WATU WENYE VVU SIMIYU


Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Shinyanga, Padri Kizito Nyanga (katikati)  akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Huduma za tiba na matunzo kwa watuwanaoishi na Virusi vya Ukimwi (CTC) Juni 18, 2020  lililojengwa kwa msaada wa Shirika lisilo la Kiserikali la  Doctors With Africa- CUAMM kupitia mradi wa Test and Treat;  katika Zahanati ya Old Maswa inayomilikiwa na Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga (Kulia) Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt....

 

11 years ago

BBCSwahili

Daraja laporomoka Brazil

Watu wawili wapoteza maisha baada ya kuangukiwa na Daraja mjini Belo Horizonte

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani