Jengo labomoka na kuua watu 17 Uchina
Jengo la ghorofa mbili limebomoka katika mkoa wa Henan, katikati mwa Uchina na kuua wafanyakazi mjengo 17 na kujeruhi wengine 23.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Watu 18 waaga dunia Xinjiang UChina
Ripoti za vyombo vya habari nchini Marekani zinasema kuwa watu 18 wameaga dunia katika eneo la Uchina la Xinjiang katika makabiliano
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina
Watu watano wafuasi wa dhehebu la ''Church of Almighty God'' wafikishwa mahakamani kwa mauaji.
9 years ago
Habarileo05 Dec
20 kortini tuhuma ya kuua watu 2
WATU 20 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya kuua watu wawili.
9 years ago
GPLASHAMBULIA CHUO NA KUUA WATU 9 MAREKANI
Mmoja wa majeruhi katika shambulio la Oregon akipatiwa huduma ya kwanza. Muuaji wa watu tisa katika shambulio hilo, Chris Harper-Mercer, 26, enzi za uhai wake.
Baadhi ya wafanyakazi na wanafunzi wa Umpqua wakiwa na sintofahamu baada ya kutokea shambulio…
11 years ago
Habarileo28 May
Watu saba watuhumiwa kuua polisi 2
WATU saba wamekamatwa na Polisi mkoani Tabora wakituhumiwa kuhusika katika mauaji ya askari Polisi wawili na unyang’anyi wa kutumia silaha, yaliyofanyika mwezi uliopita.
11 years ago
GPLDARAJA LA BOKO LABOMOKA
Kufuatia mvua kubwa zinazonyesha jijini Dar, Daraja la Boko lililopo Barabara ya Bagamoyo limebomoka na kufunga mawasiliano!
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Njama ya Nazi kuua watu kwa Malaria
Mwanabayologia mmoja nchini Ujerumani amesema amepata ushahidi kuwa utawala wa Nazi uliokuwa unaongozwa na Adolf Hitler, ulipanga kutumia Mbu kama silaha wakati wa vita vya pili vya dunia.
10 years ago
GPLNDEGE YA TAIWAN YAANGUKIA MTONI NA KUUA WATU 12
Waokoaji wakinasua watu waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Taswira kutoka eneo la ajali hiyo. Ndege inayoimilikiwa na Shirika la Ndege la Taiwan, la TransAsia imepata ajali na kuangukia kwenye mto katika mji mkuu, Taipei na kuua watu 12. Vyombo vya habari vya Taiwan vimesema watu zaidi ya 50 walikuwa ndani ya ndege hiyo, wakati ajali ilipotokea na idadi kubwa ya watu wameripotiwa kujeruhiwa. Shirika la… ...
10 years ago
GPLSOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU
Maofisa wa Polisi nchini Somalia wakiingia ndani ya jengo lililovamiwa na Al Shabaab ili kukabiliana nao. Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika jengo ya Wizara ya Elimu mjini Mogadishu, Somalia. Vyombo vya habari mjini Mogadishu vimeripoti kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo la waizara ya elimu nchini humo. Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa  kupiga risasi za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania