Watu saba watuhumiwa kuua polisi 2
WATU saba wamekamatwa na Polisi mkoani Tabora wakituhumiwa kuhusika katika mauaji ya askari Polisi wawili na unyang’anyi wa kutumia silaha, yaliyofanyika mwezi uliopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Polisi Dar watuhumiwa kuua tena
JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limeingia matatani na kudaiwa kumuua Kassim Jafari Ruhazi hatua iliyosababisha ndugu wa marehemu kususia maiti hiyo katika hospitali ya Mwananyamala. Mbali na hilo, ndugu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s72-c/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: JESHI LA POLISI MKOANI GEITA LAKAMATA BUNDUKI SABA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI BUKOMBE, WATU WAWILI MBARONI NA MSAKO MKALI UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jQ6EO_Nz47o/VAyexLTS8-I/AAAAAAAGhNs/Vq-7Y2WmPaA/s1600/8dcacabf33f6098a97598c1329d203b0.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Aug
7 watuhumiwa kuua albino
JESHI la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu katika kijiji cha Gasuma, Kata Mwaubingi wilayani Bariadi.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Watendaji watuhumiwa kuua
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Sungusungu watuhumiwa kuua vijana watatu
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
VIJANA watatu wakulima na wakazi wa kijiji cha Udimaa wilayani Manyoni mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kupewa kipigo kikali na askari Sungusungu na wananchi wenye hasira kali, kwa tuhuma ya kuvamia duka la mfanyabiashara Robert Francis (23) na kisha kumpora shilingi 1,500,000 taslimu.
Vijana hao ni Mosi Emmanuel (31), Mbasha Mhembano (27) na...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Ajali ya boti yahofiwa kuua saba
BOTI ya Kilimanjaro II imekumbwa na dhoruba katika mkondo wa Nungwi ikitokea Pemba kwenda Unguja, na abiria saba wanahofiwa kufa. Dhoruba hiyo ilitokea jana mchana na boti hiyo ilielezwa kuwa...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...