Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


7 watuhumiwa kuua albino

JESHI la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu katika kijiji cha Gasuma, Kata Mwaubingi wilayani Bariadi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Watendaji watuhumiwa kuua

Jeshi la polisi linawashikilia watu sita, wakiwamo watendaji wawili kwa tuhuma za kumuua mkazi wa Kijiji cha Igwamadete, Kata ya Iseka, wilayani Manyoni, Tatu Anderson (40) .

 

11 years ago

Habarileo

Watu saba watuhumiwa kuua polisi 2

WATU saba wamekamatwa na Polisi mkoani Tabora wakituhumiwa kuhusika katika mauaji ya askari Polisi wawili na unyang’anyi wa kutumia silaha, yaliyofanyika mwezi uliopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Dar watuhumiwa kuua tena

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limeingia matatani na kudaiwa kumuua Kassim Jafari Ruhazi hatua iliyosababisha ndugu wa marehemu kususia maiti hiyo katika hospitali ya Mwananyamala. Mbali na hilo, ndugu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sungusungu watuhumiwa kuua vijana watatu

DSC031641

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

VIJANA watatu wakulima na wakazi wa kijiji cha Udimaa wilayani Manyoni mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kupewa kipigo kikali na askari Sungusungu na wananchi wenye hasira kali, kwa tuhuma ya kuvamia duka la mfanyabiashara Robert Francis (23) na kisha kumpora shilingi 1,500,000 taslimu.

Vijana hao ni Mosi Emmanuel (31), Mbasha Mhembano (27) na...

 

10 years ago

StarTV

Ufukuaji kaburi la Albino, Polisi Kagera yakamata watuhumiwa wawili

Na Mariam Emily,

Bukoba Kagera.

 

 

 

Polisi mkoani Kagera inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi Baltazary John aliyefariki dunia mwaka 1999 katika kijiji cha Kandegesho wilayani Karagwe mkoani humo.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi wa Polisi Henry Mwaibambe amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao ambao walikuwa katika harakati za kutafuta wateja kwa ajili ya kuuza viungo vya marehemu huyo.

 

Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuua albino Tanzania

Watu wanne wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na kosa la kumuua Zawadi Magindu (32) mwenye ulemavu wa ngozi, mkazi wa Kijiji cha Nyamaruru, Wilaya ya Geita mkoani hapa.

 

10 years ago

Habarileo

Kortini kwa kukata mkono wa albino, kuua mume

WATU watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Igunga na kusomewa mashitaka ya kukata mkono wa mlemavu wa ngozi na kisha kumuua mumewe.

 

10 years ago

Mwananchi

MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa

>Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusaini hukumu ya kunyongwa hadi kufa inayowakabili watu wanne waliopatikana na hatia ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani