Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufukuaji kaburi la Albino, Polisi Kagera yakamata watuhumiwa wawili

Na Mariam Emily,

Bukoba Kagera.

 

 

 

Polisi mkoani Kagera inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kufukua kaburi la mlemavu wa ngozi Baltazary John aliyefariki dunia mwaka 1999 katika kijiji cha Kandegesho wilayani Karagwe mkoani humo.

 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi wa Polisi Henry Mwaibambe amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao ambao walikuwa katika harakati za kutafuta wateja kwa ajili ya kuuza viungo vya marehemu huyo.

 

Baadhi ya wananchi wamelaani kitendo cha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Kaburi la albino lafukuliwa kagera

Na Renatha Kipaka, Kagera

WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na mifupa mitatu pamoja na nywele za mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino) aliyefariki mwaka 2006 na kaburi lake kufukuliwa mwaka 2008.
Viungo hivyo vinadaiwa kuwa ni vya marehemu Zeulia Jestus (24), aliyekuwa mkazi wa Kijiji cha Rushwa, Kata ya Mushabago, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera ambapo ilifahamika kuwa alifariki mwaka 2006 muda mfupi baada ya kujifungua katika zahanati ya...

 

9 years ago

StarTV

Polisi mkoani Geita yakamata watuhumiwa watatu wa mlipuko wa mabomu

Polisi Mkoani Geita wamefanikiwa kuwakamata watu waliohusika na tukio la kulipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu katika nyumba ya Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph tukio lililotokea Oktoba 28 mwaka huu.

Jeshi hilo limewakamata watuhumiwa watatu na milipuko 27 inayotumiwa kufanya uhalifu katika Mkoa wa Geita, Kahama Mkoani Shinyanga na Babati Mkoani Manyara.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Peter Kakamba akizungumza na Waandishi wa Habari amesema watuhumiwa hao...

 

10 years ago

Habarileo

7 watuhumiwa kuua albino

JESHI la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu katika kijiji cha Gasuma, Kata Mwaubingi wilayani Bariadi.

 

10 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa wawili wa ugaidi kortini Dar

Waandishi Wetu, Dar na Tanga
WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kutoa mafunzo ya ugaidi kwa vijana wa Tanzania mkoani Tanga.

Mmoja wao anaelezwa kuwa alikuwa pia akitoa mafunzo ya jeshi kwa kundi la Hizbul al lililotaka kuipindua serikali ya Somalia mwaka 2010.

Washtakiwa hao, Ally Nassoro au Dk. Sule na Juma Zuberi au Kitambi, walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Riwa.

Wakili wa Serikali Mwandamizi, Peter Njike akisoma...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne akiwemo Askari Polisi mmoja namba G.8695 PC JOHN KAIJAGE [34] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya, FOTUNATUS KAGANDE [23] Mkazi wa Iwambi, PETSON DANIEL [22] Mkazi wa Iwambi na JASTINI KAGANDE [27] Mwanafunzi St.John na Mkazi wa Iwambi kwa tuhuma za kumuua ERASTO MWALWEGO [29] Dereva Pikipiki @ Bodaboda na Mkazi wa Nzovwe.
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...

 

10 years ago

StarTV

TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.

Na Lilian Mtono.

Dar es Salaam.

 

Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.

 

Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...

 

5 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI WAKUU POLISI KUWAHOJI WATUHUMIWA WALIOPO MAHABUSU ZA POLISI NCHINI



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza naWatendaji Wakuu wa Jeshi la Polisi Nchini, katika ukumbi wa mikutano wa Jeshihilo, jijini Dar es Salaam, leo. Simbachawene amewataka viongozi haowawakikishe wanawahoji watuhumiwa waliopo katika mahabusu ya vituo vyapolisi nchini ili kujua makosa waliyoyafanya kama wanastahili...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yakamata bunduki 16 za Stakishari

Jeshi la Polisi limesema limeshakamata bunduki 16 kati ya 21 zilizoporwa kwenye Kituo cha Stakishari.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yakamata silaha zilizoibwa Stakishari

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata bunduki 14 na risasi 28 zilizoporwa katika kituo cha polisi cha Stakshari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani