Sungusungu watuhumiwa kuua vijana watatu
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
VIJANA watatu wakulima na wakazi wa kijiji cha Udimaa wilayani Manyoni mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kupewa kipigo kikali na askari Sungusungu na wananchi wenye hasira kali, kwa tuhuma ya kuvamia duka la mfanyabiashara Robert Francis (23) na kisha kumpora shilingi 1,500,000 taslimu.
Vijana hao ni Mosi Emmanuel (31), Mbasha Mhembano (27) na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
7 watuhumiwa kuua albino
JESHI la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu katika kijiji cha Gasuma, Kata Mwaubingi wilayani Bariadi.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Watendaji watuhumiwa kuua
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Polisi Dar watuhumiwa kuua tena
JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limeingia matatani na kudaiwa kumuua Kassim Jafari Ruhazi hatua iliyosababisha ndugu wa marehemu kususia maiti hiyo katika hospitali ya Mwananyamala. Mbali na hilo, ndugu...
11 years ago
Habarileo28 May
Watu saba watuhumiwa kuua polisi 2
WATU saba wamekamatwa na Polisi mkoani Tabora wakituhumiwa kuhusika katika mauaji ya askari Polisi wawili na unyang’anyi wa kutumia silaha, yaliyofanyika mwezi uliopita.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5C9kkJ-A0SxnFe2uFQpjewE8hjWzHaR37qKTF5LN3B6P6d7rGuTyXvSjLORc9P2KUP8GsfwSbeCsgRY3r*3An*U/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI
9 years ago
StarTV15 Nov
Polisi mkoani Geita yakamata watuhumiwa watatu wa mlipuko wa mabomu
Polisi Mkoani Geita wamefanikiwa kuwakamata watu waliohusika na tukio la kulipua kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu katika nyumba ya Afisa Mafunzo wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita Lucy Joseph tukio lililotokea Oktoba 28 mwaka huu.
Jeshi hilo limewakamata watuhumiwa watatu na milipuko 27 inayotumiwa kufanya uhalifu katika Mkoa wa Geita, Kahama Mkoani Shinyanga na Babati Mkoani Manyara.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Peter Kakamba akizungumza na Waandishi wa Habari amesema watuhumiwa hao...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6SkKwQUyfds/VUDyxteaCvI/AAAAAAAHUF8/k5fkctQENn0/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: WATUHUMIWA WATATU WA UJAMBAZI WAUWAWA MKOANI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6SkKwQUyfds/VUDyxteaCvI/AAAAAAAHUF8/k5fkctQENn0/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy%2B(1).jpg)
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuuwa majambazi watatu baada ya kurushiana risasi na kukamata silaha mbalimbali za kivita.
Akizungumzia tukio hilo ofisini kwake Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Frednand Mtui alisema kuwa majira ya saa nane usiku katika eneo la mto kahabwe mpakani mwa Wilaya ya Kakonko na Kibondo, askari Polisi wakiwa doria walirushiana risasi na majambazi ambao idadi yao haijajuikana na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-tA0TEbnSiG8/VbSz0KW5__I/AAAAAAABDoc/9xGlmTMIkKQ/s72-c/To.jpg)
NDEGE NDOGO YAANGUKA NA KUUA WATU WATATU NCHINI JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-tA0TEbnSiG8/VbSz0KW5__I/AAAAAAABDoc/9xGlmTMIkKQ/s640/To.jpg)
Ndege hiyo ya viti vinne ilianguka baada ya kupaa ikitokea Chofu katika uwanja wa Tokyo, shirika la umma la NHK limeripoti.
Nyumba zipatazo mbili na magari mawili yaliungua moto, ambapo pia watu wawili waliokuwa kwenye ndege walikufa pamoja na mwanamke moja aliyekuwa kwenye nyumba.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s72-c/IMG_8312.jpg)
MAHAKAMA KUU YATOA DHAMANA KWA WATUHUMIWA WATATU WA UHUJUMU UCHUMI WA TRA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NQPKl4luzdk/VnAO8PTnjdI/AAAAAAAIMk4/psI_9AQklIw/s640/IMG_8312.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/---LcZr__g8E/VnAO7pT0QZI/AAAAAAAIMk0/o5ArKHSkxoM/s640/IMG_8313.jpg)
Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, aliyekuwa naibu Kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA), Tiagi Masamaki (Kulia) akiwa na wenzake aliyekuwa Meneja wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Habibu Mponezya na Bulton Mponezya wakiwa katika Mahakama Kuu Tanzania jijini Dar es Salaam leo wakisomewa shtaka linalowakikabili la makosa ya jinai na uhujumu uchumi.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VLUlOilg1yc/VnAPC-wi3JI/AAAAAAAIMlI/JRpaSFrgNtM/s640/IMG_8315.jpg)