Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji watuhumiwa kuua

Jeshi la polisi linawashikilia watu sita, wakiwamo watendaji wawili kwa tuhuma za kumuua mkazi wa Kijiji cha Igwamadete, Kata ya Iseka, wilayani Manyoni, Tatu Anderson (40) .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

7 watuhumiwa kuua albino

JESHI la Polisi mkoani Simiyu limewakamata watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na kifo cha mlemavu wa ngozi, Munghu Mugata (40) aliyeuawa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwake usiku wa Mei 12 mwaka huu katika kijiji cha Gasuma, Kata Mwaubingi wilayani Bariadi.

 

11 years ago

Habarileo

Watu saba watuhumiwa kuua polisi 2

WATU saba wamekamatwa na Polisi mkoani Tabora wakituhumiwa kuhusika katika mauaji ya askari Polisi wawili na unyang’anyi wa kutumia silaha, yaliyofanyika mwezi uliopita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sungusungu watuhumiwa kuua vijana watatu

DSC031641

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoani Singida, ACP Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.

Na Nathaniel Limu, Singida

VIJANA watatu wakulima na wakazi wa kijiji cha Udimaa wilayani Manyoni mkoani Singida,wamefariki dunia baada ya kupewa kipigo kikali na askari Sungusungu na wananchi wenye hasira kali, kwa tuhuma ya kuvamia duka la mfanyabiashara Robert Francis (23) na kisha kumpora shilingi 1,500,000 taslimu.

Vijana hao ni Mosi Emmanuel (31), Mbasha Mhembano (27) na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Dar watuhumiwa kuua tena

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limeingia matatani na kudaiwa kumuua Kassim Jafari Ruhazi hatua iliyosababisha ndugu wa marehemu kususia maiti hiyo katika hospitali ya Mwananyamala. Mbali na hilo, ndugu...

 

5 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AWATAKA WATENDAJI WAKUU POLISI KUWAHOJI WATUHUMIWA WALIOPO MAHABUSU ZA POLISI NCHINI



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza naWatendaji Wakuu wa Jeshi la Polisi Nchini, katika ukumbi wa mikutano wa Jeshihilo, jijini Dar es Salaam, leo. Simbachawene amewataka viongozi haowawakikishe wanawahoji watuhumiwa waliopo katika mahabusu ya vituo vyapolisi nchini ili kujua makosa waliyoyafanya kama wanastahili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani