JENGO LA KIHISTORIA LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR

Jengo moja la gorofa laporomoka huko Zanzibar katika eneo la kihistoria Jaws Corner ndani ya manispaa ya mji mkongwe Zanzibar. Taarifa zinasema wananchi wa karibu na eneo hilo wakishirikiana na vikosi maalumu vya serikali vinaendelea kufanya jitihada mbali mbali katika eneo hilo ikiwemo kuhakikisha hakuna athari zaidi zitakazoweza kutokea. Baadhi ya shuhuda mmoja ameiambia mazrui media kuwa watu wana wasiwasi juu ya uwepo wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Sep
Jengo laporomoka na kuwaua watu Nigeria
10 years ago
Dewji Blog20 Jan
Mkalama watakiwa kulikarabati jengo la kihistoria la Wajerumani
Gofu la nyumba iliyokuwa makazi ya kiongozi wa Wajerumani waliokuwa wakilima zao la mpira kuanzia mwaka wa 1905. Imedaiwa Wajerumani hao walikuja nyang’anywa makazi hayo na Waingereza. Makazi hayo endapo yatafanyiwa ukarabati na kutangazwa kikamilifu, yatavutia watalii wa ndani na nje ya nchi na hivyo kuiingizia kipato kikubwa halmashauri ya Mkalama.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
HALMASHAURI ya wilaya ya Mkalama Mkoa wa Singida, imeshauriwa kuzingatia uwezekano wa kulikarabati na kulilinda ...
10 years ago
GPL
VODACOM WASOGEZA HUDUMA KWA WAKAZI WA MJI WA KIHISTORIA WA BAGAMOYO
10 years ago
GPLCCM YABOMOA JENGO LA TANU JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
GPL
WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA
11 years ago
GPL
VODACOM YAFUNGUA DUKA JIPYA LA KISASA JENGO LA QUALITY CENTRE UCHUMI
10 years ago
Michuzi
UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA ABIRIA TERMINAL II ZANZIBAR


10 years ago
GPL
JENGO LAANGUKA NA KUJERUHI WATU MJI MKONGWE, ZANZIBAR