Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sadiq al-Mahdi afunguliwa Sudan

Mwanasiasa mashuhuri wa Sudan aliyekamatwa mwezi May, aachiliwa huru

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Meck sadiq na Kabwe waungwa mkono Dar

RC-Dar-es-Salaam

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiq.

Na Mwandishi wetu

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam wamemuunga mkono Mkuu wa Mkoa Saidi Meck Sadiq, na Mkurugenzi wa Jiji Wilson Kabwe kwa hatua walizochukua dhidi ya wamachinga.

Kufuatia uungwaji mkono wakaazi hao wamemtaka Mbunge wa Ilala, Mussa Azzan Zungu (CCM), kuacha kuwatetea wafanyabiashara wadogo (Wamachinga), wanaofanya biashara katika maeneo ya siyo rasmi.

Hivi karibuni Mbunge huyo, akiwa bungeni alikaririwa na vyombo vya...

 

9 years ago

Mwananchi

MURAD SADIQ :Wananchi wamenihukumu kutokana na kazi yangu Jimbo la Mvomero

Unaweza ukaona kama ni mchezo wa kuigiza, lakini hiyo ni hali halisi ambapo wahasimu wakuu wawili katika siasa Murad Sadiq na Amosi Makala wamekuta wakinyang’anyana kijiti cha ubunge wa Mvomero, huku kila mmoja akitumia mbinu yake kumuangusha mwenzie.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

 

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber afunguliwa mashtaka

Amekaribishwa kituo cha polisi na umati mkubwa wa wapiga picha za televisheni pamoja na 'unyende' wa mashabiki wake.

 

10 years ago

GPL

MUUMINI AFUNGULIWA KESI YA UTAPELI

Mkurugenzi wa Bendi ya Double M Sound,  Muumini Mwinjuma ‘Kocha wa Dunia’. Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya Double M Sound, Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, amefunguliwa kesi kwa jalada namba; NJ/RB/4150/2014 madai KUTOKUWEPO ENEO LA TUKIO na kukiuka masharti ya mkataba ya kufanya shoo mkoani Njombe. Mwandaaji wa shoo hiyo iliyofanyikia Ukumbi wa Day to Day, Sylvia Mwakkikufi akizungumza na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi Ilala afunguliwa mashtaka mengine

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, jana walifunguliwa mashitaka mengine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka

Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Sepetu Afunguliwa Apandishwa Kizimbani Leo!!

Mwigizaji wa filamu za kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ anapandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jijini Dar kujibu kesi ya kushambuliwa vijana wawili, Rashid Balazi na Juma Bushiri, wakazi wa jijini Dar, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili.

Katika kujibu kesi hiyo, Madam Wema hatakuwa peke yake kwani mpambe wake, Petit Man naye anahusika katika kesi hiyo kwa kuwa ndiye mshtakiwa wa kwanza.

Hivi karibuni kabla Madam Wema hajasafiri kwenda nchini Ghana kufanya...

 

10 years ago

GPL

PAPAA MSOFFE AFUTIWA KESI YA MAUAJI, AFUNGULIWA NYINGINE YA KUGHUSHI NYARAKA

Papaa Msofe akiwa mahakamani. (Picha kutoka maktaba yetu) MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemfutia kesi ya mauji iliyokuwa ikimkabili mfanyabishara maarufu nchini, Marijan Abubakar, maarufu kama 'Papaa Msofe' baada ya kupokea taarifa kutoka kwa MKurugenzi wa Mashitaka (DPP), Biswalo Mganga leo kuwa hana nia ya kuendelea kumshitaki tena. Kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani