Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi Ilala afunguliwa mashtaka mengine

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, jana walifunguliwa mashitaka mengine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bieber afunguliwa mashtaka

Amekaribishwa kituo cha polisi na umati mkubwa wa wapiga picha za televisheni pamoja na 'unyende' wa mashabiki wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka

Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka

 

11 years ago

Michuzi

Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar

MKURUGENZI wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake 11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika mtaa wa Indira Gandh, yaliyotokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16.
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka

Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .

 

9 years ago

Michuzi

DKT. MWAKYEMBE ATEMBELEA OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA (DPP)



Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt, Harrison Mwakyembe (kulia) akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Sheria ikiwemo majumuisho ya ziara yake aliyoifanya hivi karibuni. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Sifuni Mchome pamoja na Naibu Katibu Mkuu wake Bwana Amon Mpanju, leo 5 Januari, 2016 Jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi wa mashtaka Biswalo Mganga akieleza mbele ya Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe....

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi Ilala aachiwa huru

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, John Lubuva na wenzake wameachiwa huru baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kutumia vibaya madaraka, kula njama na kuitia serikali hasara ya Sh bilioni 1.7.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa Ilala akiri onyo alilopewa ni sahihi

Baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya waliosimamishwa kazi na wengine kupewa onyo kwa tuhuma za kutosimamia vyema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wameunga mkono hatua hiyo, huku mkurugenzi wa Ilala, Isaya Mngurumi akisema onyo alilopewa lilikuwa sahihi kutokana na udhaifu uliojitokeza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sadiq al-Mahdi afunguliwa Sudan

Mwanasiasa mashuhuri wa Sudan aliyekamatwa mwezi May, aachiliwa huru

 

10 years ago

GPL

MUUMINI AFUNGULIWA KESI YA UTAPELI

Mkurugenzi wa Bendi ya Double M Sound,  Muumini Mwinjuma ‘Kocha wa Dunia’. Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya Double M Sound, Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, amefunguliwa kesi kwa jalada namba; NJ/RB/4150/2014 madai KUTOKUWEPO ENEO LA TUKIO na kukiuka masharti ya mkataba ya kufanya shoo mkoani Njombe. Mwandaaji wa shoo hiyo iliyofanyikia Ukumbi wa Day to Day, Sylvia Mwakkikufi akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani