Mkurugenzi Ilala afunguliwa mashtaka mengine
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, jana walifunguliwa mashitaka mengine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Jan
Justin Bieber afunguliwa mashtaka
Amekaribishwa kituo cha polisi na umati mkubwa wa wapiga picha za televisheni pamoja na 'unyende' wa mashabiki wake.
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Nahodha wa mashua afunguliwa mashtaka
Nahodha wa mashua ambayo ilizama pwani ya Libya siku ya Jumapili ambapo wahamiaji wengi waliangamia amefunguliwa mashtaka
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s72-c/IMG_6467.jpg)
Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11 wasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa 16,jijini dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-hw5cAyb55U8/UyB_Zw8AP9I/AAAAAAAFTKI/R2xjFggrrvI/s1600/IMG_6467.jpg)
Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha, Goodluck Mbanga, Willbroad Mugyabuso,Mohamed Abdulkarim, Charles Ogare, Zonazea Oushoudada, Vedasto Ruhale,...
9 years ago
BBCSwahili04 Nov
Aliyekuwa rais wa IAAF afunguliwa mashtaka
Ufaransa imeanzisha uchunguzi dhidi ya aliyekuwa rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF,Lamine Diack, kuhusiana na madai ya ufisadi .
9 years ago
MichuziDKT. MWAKYEMBE ATEMBELEA OFISI YA MKURUGENZI WA MASHTAKA (DPP)
11 years ago
Habarileo01 Jul
Mkurugenzi Ilala aachiwa huru
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, John Lubuva na wenzake wameachiwa huru baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuthibitisha kesi iliyokuwa ikiwakabili ya kutumia vibaya madaraka, kula njama na kuitia serikali hasara ya Sh bilioni 1.7.
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mkurugenzi wa Ilala akiri onyo alilopewa ni sahihi
Baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri za wilaya waliosimamishwa kazi na wengine kupewa onyo kwa tuhuma za kutosimamia vyema Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wameunga mkono hatua hiyo, huku mkurugenzi wa Ilala, Isaya Mngurumi akisema onyo alilopewa lilikuwa sahihi kutokana na udhaifu uliojitokeza.
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Sadiq al-Mahdi afunguliwa Sudan
Mwanasiasa mashuhuri wa Sudan aliyekamatwa mwezi May, aachiliwa huru
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6aOMGtxdGe7MgC5V0Vu5nID9gmJnxlUGKMtOZxnaTnozEqb0ySnBOex0ejVKsDZsVRZIguLB1VUF-N2yvN8G367dN77d3qql/MUUMIN.jpg)
MUUMINI AFUNGULIWA KESI YA UTAPELI
Mkurugenzi wa Bendi ya Double M Sound, Muumini Mwinjuma ‘Kocha wa Dunia’. Shani Ramadhani
MKURUGENZI wa Bendi ya Double M Sound, Mwinjuma Muumini ‘Kocha wa Dunia’, amefunguliwa kesi kwa jalada namba; NJ/RB/4150/2014 madai KUTOKUWEPO ENEO LA TUKIO na kukiuka masharti ya mkataba ya kufanya shoo mkoani Njombe. Mwandaaji wa shoo hiyo iliyofanyikia Ukumbi wa Day to Day, Sylvia Mwakkikufi akizungumza na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania