MURAD SADIQ :Wananchi wamenihukumu kutokana na kazi yangu Jimbo la Mvomero
Unaweza ukaona kama ni mchezo wa kuigiza, lakini hiyo ni hali halisi ambapo wahasimu wakuu wawili katika siasa Murad Sadiq na Amosi Makala wamekuta wakinyang’anyana kijiti cha ubunge wa Mvomero, huku kila mmoja akitumia mbinu yake kumuangusha mwenzie.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Makalla ziarani kwenye Jimbo la Mvomero
![](http://3.bp.blogspot.com/-nAUNICkqzvo/VK1JpNuQxnI/AAAAAAAG71U/_8B_xNkSucY/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qFwfM30qcLE/VK1JpUFKSRI/AAAAAAAG71Y/CdG9_H5IldQ/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--mwYkJz_U7s/VK1Jrh4ZbhI/AAAAAAAG71s/9utWviGs-ZA/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cJld9uKSJ1s/VR9xDiIxn1I/AAAAAAAHPRI/NRnk9HCEwnw/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
MH. MAKALLA ACHANGIWA FEDHA ZA KUCHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MVOMERO
Tukio la kuchangiwa fedha za kuchukulia fomu lilichagizwa na Naibu Waziri wa Afya, Dk. Stephen Kebwe aliyefanya ziara ya kukagua hospitali teule ya Bwagala na kisha kuongea na wananchi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara.
Alipopanda jukwaani, Dk. Stephen Kebwe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h1JZXy1Nro4/VUb-ip179AI/AAAAAAAHVCw/S_avItByED4/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Makalla aendelea kuchangiwa fedha za kuchukua fomu ya kuwania Ubunge jimbo la Mvomero
Katika mkutano mkubwa wa kihistoria wanawake wa matawi walimtaka mbunge huyo wakati ukifika achukue fomu na wao wanamuahidi ushindi ndani ya chama na nje ya...
10 years ago
VijimamboKamanda wa Jimbo la Chumbuni Afutarisha Wananchi wa Jimbo hilo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMqOm8oBi3f5N8f1i5JifOcm0SkGEK74AYQqg*EHnPZvt7fH-GAcXT2gbkdepPT7SN8gUPv7xnjS8l6EG6QHHICW/tuzozawatu.jpg?width=650)
MAJINA YA TUZO ZA WATU YALIYOPATIKANA KUTOKANA NA MAPENDEKEZO YA WANANCHI
9 years ago
StarTV24 Nov
Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara
Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.
Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.
Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...
9 years ago
StarTV21 Dec
Viongozi Simanjiro watupiwa lawama kutokana na rasilimali kutowanufaisha wananchi
Wakazi wa vijiji vilivyopo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara wameelezea kutoridhishwa na hali duni ya maisha wanayoishi ukilinganisha na rasilimali kubwa ya mifugo pamoja na madini ya Tanzanite yanayopatikana wilayani humo.
Wengi wao wanawashutumu viongozi wanaopewa dhamana ya kuongoza eneo hilo kushindwa kusimamia rasilimali zilizopo ili ziwanufaishe wananchi wote.
Kundi kubwa la wakazi wa eneo hilo la simanjiro ni watu wa jamii ya kifugaji ambao kwa asilimia kubwa hutegemea mifugo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LJteoQI_uPQ/Xmy3ZdAL8MI/AAAAAAALjUg/5wfTulFQAgEOARTi6YDE-BNmvrBw7yv6QCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv75dc7f163281m87d_800C450.jpg)
Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kufanyia kazi nyumbani kutokana na corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-LJteoQI_uPQ/Xmy3ZdAL8MI/AAAAAAALjUg/5wfTulFQAgEOARTi6YDE-BNmvrBw7yv6QCLcBGAsYHQ/s640/4bv75dc7f163281m87d_800C450.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa, siku ya Ijumaa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuanzia 16 Machi hadi 12 Aprili wafanyakazi wa makao makuu ya umoja huo mjini New York watafanyia kazi zao nyumbani isipokuwa tu wale ambao ni dharura wafike ofisini.
Tangazo hilo limetolewa baada ya mwanadiplomasia wa Ufilipino...
9 years ago
Michuzi27 Sep
JESHI LA ANGA LA CCM LAMALIZA KAZI TABORA,WANANCHI WAAHIDI KUCHAGUA "KAZI TU"
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/vRUyt5gK-lCGtpsTfui9k6Tyahr2nOjql4RT86g2VPgldzX6syMGsuR_rv9bzQz5SsP4eCpL2ouWYUBhDJ3VaDNbgbPK8GAj_8pPI1Vvz6Cknx27tbnn9gOjgG20YYecxXzNLiWr6mp16J10B83TPlkLxlL_EGKUWc17b8FEyaAC5QzJgJrxDTeHAaVobf21vtHIbB7ALrHdm8SHNXhmDR0LPaXq5tF-JLAJrkZDW41BjzXQ=s0-d-e1-ft#https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12043167_429722983896602_2289722885655738355_n.jpg?oh=802e9123e3ea8af0b46fb4534d18298c&oe=5690AF24)