Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Minyoo yaondolewa kwenye ubongo wa mtu

Mwanamume mmoja nchini Marekani anazidi kupata afueni baada ya kufanyiwa upasuaji wa kumuondoa minyoo kutoka ndani ya ubongo wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ubongo wa mtu una seli 100 bilioni za mawasiliano

>Ubongo ni kiungo cha aina yake katika mwili wa binadamu. Ubongo hutoa kila fikira, tendo, kumbukumbu, hisia na uzoefu wa kidunia.

 

10 years ago

Mwananchi

UBONGO: Njia zinazohamasisha mtu awe na uwezo mkubwa kiakili

Yapo mambo ambayo ubongo wa binadamu unatakiwa kuyafanya kwa ufanisi ili mtu aonekane kuwa ana akili.

 

5 years ago

BBCSwahili

VBertolt Meyer : Mtu anayeweza kutengeneza muziki kwa ubongo wake

Mwanamuziki wa muziki wa elektroniki Bertolt Meyer ameiambia BBC Radio 5 Live jinsi anavyoweza kuunganisha mkono wake bandia na mishipa na kucheza muziki kwa kuufikiria muziki huo

 

9 years ago

Michuzi

VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula Vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongoIfuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...

 

9 years ago

Dewji Blog

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo

Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:

1.MAFUTA YA SAMAKI

Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.

2.PILIPILI KALI

Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Muimbaji wa Longombas, Christian awashukuru mashabiki wake baada ya kuondolewa uvimbe kwenye ubongo na kupona

Mwimbaji wa kundi la Longombas la nchini Kenya, Christian Longomba amewashukuru mashabiki wake waliokuwa wakim-support kwa maombi kipindi chote cha upasuaji wa kuondolewa uvimbe uliokuwa kichwani July mwaka huu. Baada ya upasuaji wa pili kwenda vizuri na kufanikiwa kuondolewa uvimbe huo kwenye ubongo, amesema kuwa hivi sasa hali yake ni nzuri. Mwimbaji huyo hakusahau kuwashukuru […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu auwawa kwenye maandamano Mombasa

Watu waandamana na uporaji wa mali watokea mjini Mombasa, Kenya, ambapo mtu mmoja alikufa

 

10 years ago

GPL

MKE WA MTU ANASWA AKIZINI KWENYE GARI

Waandishi wetu, Mwanza/Ijumaa
BIASHARA ya kuuza miili imezidi kushamiri katika viunga vya Jiji la Mwanza na mwanzoni mwa wiki hii Kitengo Maalum cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kilifanya zoezi lingine kubwa baada ya kumnasa mwanamke mmoja akifanya mapenzi ndani ya gari katika eneo la Kirumba, Ijumaa lina data kamili. Mwanamke huyo anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu. Baada ya kutajiwa maeneo yanayosifika...

 

10 years ago

GPL

ASCARIS; MINYOO INAYOSUMBUA WENGI

Mnyoo ipo ya aina tofauti inayodhuru binadamu. Scaris lumbricoides ni mnyoo aina ya nematodi mkubwa ambaye anaishi katika matumbo ya binadamu na ndiyo wanaosababisha ugonjwa wa minyoo.
 Inakadiriwa kwamba karibu robo ya idadi ya watu duniani wameathiriwa na ugonjwa huu na umeenea sana katika maeneo ya nchi za joto na maeneo yenye hali duni ya usafi. ATHARI
Minyoo ya jamii ya Ascaris wanaweza kusababisha upungufu wa damu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani