Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo

Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:

1.MAFUTA YA SAMAKI

Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.

2.PILIPILI KALI

Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula Vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongoIfuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...

 

10 years ago

Habarileo

Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu

IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.

 

9 years ago

BBCSwahili

Minyoo yaondolewa kwenye ubongo wa mtu

Mwanamume mmoja nchini Marekani anazidi kupata afueni baada ya kufanyiwa upasuaji wa kumuondoa minyoo kutoka ndani ya ubongo wake.

 

10 years ago

GPL

KUNA TATIZO KUBWA KWENYE VYAKULA VYETU

Miongo mitatu iliyopita (miaka 30), vyakula vingi vilivyopatikana kwa chakula cha binadamu vilikuwa vibichi na vitokanavyo na mazao yaliyovunwa kutokana na kilimo cha asili. Lakini hivi sasa hali imebadilika, idadi kubwa ya vyakula tunavyokula, iwe nyumbani, migahawani au shuleni, siyo vyakula vibichi na asilia, bali vingi ni vya kutengeneza na kuhifadhiwa kwa muda mrefu, huku vikiwekwa sukari ama chumvi nyingi. Kutokana na...

 

9 years ago

Habarileo

Hall akili yote kwenye ubingwa

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema ubingwa wa Tanzania Bara, ndiyo jambo muhimu kwake msimu huu na siyo kuongoza ligi.

 

5 years ago

Michuzi

WAUZAJI WA VYAKULA KWENYE MIGAHAWA WATAKIWA KUZINGATIA USAFI


Mtengenezaji wa Juisi katika Mgahawa wa Henry, Wilayani Bukombe, akijieleza mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainab Chaula jinsi wanavyoandaa juisi hizo.
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akitoa pesa kuwanunulia juice wauzaji wa mgahawa huo.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akikagua usafi kwenye mgahawa huo.
Wauzaji wa mgahawa wakikinga juice waliyonunuliwa na katibu mkuu Dkt. Chaula....

 

9 years ago

Bongo5

Muimbaji wa Longombas, Christian awashukuru mashabiki wake baada ya kuondolewa uvimbe kwenye ubongo na kupona

Mwimbaji wa kundi la Longombas la nchini Kenya, Christian Longomba amewashukuru mashabiki wake waliokuwa wakim-support kwa maombi kipindi chote cha upasuaji wa kuondolewa uvimbe uliokuwa kichwani July mwaka huu. Baada ya upasuaji wa pili kwenda vizuri na kufanikiwa kuondolewa uvimbe huo kwenye ubongo, amesema kuwa hivi sasa hali yake ni nzuri. Mwimbaji huyo hakusahau kuwashukuru […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!

11173318_715091675287121_403970394052586402_nBurger bomba  kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi,  zenye ufahari kutoka MeTL Group.

Je? umeshatumia bidhaa bora kutoka MO!! pata sasa zipo karibu nawe  NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOG

Kampuni ya MeTL Group  imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani  na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi  na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani