‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo
Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.
2.PILIPILI KALI
Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO
1.MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu
IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Minyoo yaondolewa kwenye ubongo wa mtu
10 years ago
GPLKUNA TATIZO KUBWA KWENYE VYAKULA VYETU
9 years ago
Habarileo06 Nov
Hall akili yote kwenye ubingwa
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema ubingwa wa Tanzania Bara, ndiyo jambo muhimu kwake msimu huu na siyo kuongoza ligi.
5 years ago
MichuziWAUZAJI WA VYAKULA KWENYE MIGAHAWA WATAKIWA KUZINGATIA USAFI
Mtengenezaji wa Juisi katika Mgahawa wa Henry, Wilayani Bukombe, akijieleza mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainab Chaula jinsi wanavyoandaa juisi hizo.
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akitoa pesa kuwanunulia juice wauzaji wa mgahawa huo.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akikagua usafi kwenye mgahawa huo.
Wauzaji wa mgahawa wakikinga juice waliyonunuliwa na katibu mkuu Dkt. Chaula....
9 years ago
Bongo514 Sep
Muimbaji wa Longombas, Christian awashukuru mashabiki wake baada ya kuondolewa uvimbe kwenye ubongo na kupona
10 years ago
Dewji Blog15 May
Mafuta ya kupikia ya MO SAFI kwa mahitaji bora ya vyakula kwenye familia yako!!
Burger bomba kama hii ya kuvutia iliyotengenezwa kwa mafuta bora ya Mo Safi, zenye ufahari kutoka MeTL Group.
Je? umeshatumia bidhaa bora kutoka MO!! pata sasa zipo karibu nawe NA ANDREW CHALE, MODEWJI BLOGKampuni ya MeTL Group imekuwa ni kati ya makampuni bora ndani na nje ya Tanzania kwa kukuletea bidhaa bora kwa mahitaji sahihi na ya matumizi na afya yako. Leo kupitia Modewji blog, tunakuletea kwa kifupi namna ya mafuta ya kupikia kutoka MeTL Group, MO Safi yatakavyopendezesha mlo...
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...