Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hall akili yote kwenye ubingwa

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema ubingwa wa Tanzania Bara, ndiyo jambo muhimu kwake msimu huu na siyo kuongoza ligi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula Vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongoIfuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...

 

9 years ago

Dewji Blog

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo

Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:

1.MAFUTA YA SAMAKI

Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.

2.PILIPILI KALI

Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...

 

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZETIU LA UWAZI

Mgonjwa aliyetoa siri Muhimbili kwa Magufuli, yamkuta -Ni yule aliyeibua ubovu wa CT-Scan -Avamiwa anakoishi -Ahofia maisha -Azungumza na UWAZI mwanzo hadi mwisho. -Unataka kufahamu akina nani wamemvamia na nini kimemkuta baada ya kuvamiwa? Wanaswa wakijiandaa kulipua hoteli -Unajua ni akina nani, wapi na ilikuwaje? Magufuli 'kiboko'! -Awahenyesha Makjatibu Wakuu wa Wizara -Unataka kujua nini amekifanya Rais Magufuli? -Ni Wizara...

 

11 years ago

GPL

Azam FC hiyoo kwenye ubingwa

Kikosi cha Azam FC. Na Sweetbert Lukonge
UWEZEKANO wa Azam FC kuandika historia ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza upo karibu, hiyo ni baada ya kufanikiwa kuifunga Simba kwa mabao 2-1 na kuongoza msimamo wa ligi hiyo kwa tofauti ya pointi saba. Azam ambayo haijapoteza mechi yoyote msimu huu, imeonyesha kweli imejipanga baada ya kutoa kipigo hicho kwa Simba ambayo mwaka huu imekuwa ikipepesuka, hivyo...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray

"(FREEDOM OF SPEECH)

Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)

Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...

 

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZET LA RISASI, JUMATANO HII

Jide jeuri kwisha! >Unataka kujua nini kimemtokea Jide? Diamond aibu tupu! > Picha za CCTV nyumbani kwake zamuumbua > Fundi ajionea sinema ya bure > Amwaga ubuyu Wema, Mwana FA kuukwaa ubunge? Sajent, Nisha Wagombea Bwana! >Unataka kumjua bwana mwenyewe? wapi tukio hilo lilitokea? ilikuwaje? Wachungaji, Mashehe Wakutana Kanisani! >Ni Kwa Ajili Ya Kuwarudisha Wabwia Unga Kwa Mungu Yote haya na mengine usikose kusoma Gazeti...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia

“...Zamani tulifundishwa mbinu za kudhibiti malaria kuwa ni kuua mazalia ya mbu ili mbu wasiwepo; leo watoto wetu wanapotoshwa kuwa mbinu ya kudhibiti malaria ni kutumia chandarua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani