Hall akili yote kwenye ubingwa
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema ubingwa wa Tanzania Bara, ndiyo jambo muhimu kwake msimu huu na siyo kuongoza ligi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YHCHqL_KJbI/Vnj4bzQ76kI/AAAAAAAAVSo/h4_ccLI1M30/s72-c/CRI.jpg)
VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO
1.MAFUTA YA SAMAKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YHCHqL_KJbI/Vnj4bzQ76kI/AAAAAAAAVSo/h4_ccLI1M30/s400/CRI.jpg)
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo
Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.
2.PILIPILI KALI
Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Magufuli1.jpg?width=650)
YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZETIU LA UWAZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Ta8QizSMJK4D0kInfppjLuYRSeNYVb6KYoOMcAI-NEIT8Xzq7RyIbuQ0EQGc*sJQQTA75hSgGFLGWeg187seUkn/azam.jpg?width=550)
Azam FC hiyoo kwenye ubingwa
9 years ago
Bongo Movies08 Sep
Mwaka Huu Nimewajua Wasanii Waliokuwa na Akili na Wasiokuwa na Akili-Ray
"(FREEDOM OF SPEECH)
Kuna vitu vingi sana nimegunduakwenye uchaguzi wa mwaka huu nimewajua baadhi ya wasanii waliokuwa na akili na wasiokuwa na akili japokuwa nami nawezakuwa mmoja wapo katika hao wasiokuwa na akili. Why nasema hivi na samahani kama nitakuwa nime2mia lugha kali, Unajua nashanga sana sasa hivi kumekuwa na vita baina ya wasanii wanaosapoti (CCM) Na (UKAWA)
Jamani siasa ni democracy kila m2 ana haki yakuwa upande anayeuona yeye unamfaa. Mimi nilidhani badala ya kuwa na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/jide.jpg)
YOTE HAYA UTAYAPATA KWENYE GAZET LA RISASI, JUMATANO HII
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Tunapoua akili asilia na kukimbilia akili bandia