KUNA TATIZO KUBWA KWENYE VYAKULA VYETU
![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZc5T46gQZVzZtTiIC-0d8mMJdzd3grrdbjBE-AnNp3yj-bSiNhKXVLZKAZaBazHLT-bSrzC47ussDv5MeXzx6A1/msosi.jpg)
Miongo mitatu iliyopita (miaka 30), vyakula vingi vilivyopatikana kwa chakula cha binadamu vilikuwa vibichi na vitokanavyo na mazao yaliyovunwa kutokana na kilimo cha asili. Lakini hivi sasa hali imebadilika, idadi kubwa ya vyakula tunavyokula, iwe nyumbani, migahawani au shuleni, siyo vyakula vibichi na asilia, bali vingi ni vya kutengeneza na kuhifadhiwa kwa muda mrefu, huku vikiwekwa sukari ama chumvi nyingi. Kutokana na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Sep
'Kuna tatizo kwenye mfumo wa elimu'
BARAZA la Uongozi wa Elimu, Utawala na Usimamizi (TACELAM) limesema matumizi ya lugha ya kufundishia ni moja ya tatizo linalozorotesha maendeleo ya elimu nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s72-c/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
Je, Kuna Tatizo Gani Kula Nyama?
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cs3rcJ8TQCE/VoKsLiYRQtI/AAAAAAAIPQk/psmg0Veni2c/s640/Asana%2BBow%2BPosture.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Tanesco: Kuna tatizo la upatikanaji umeme wa Luku
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Wasanii mnajua kuna tatizo la ajira, mnaheshimu kazi zenu?
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Mhe.Magufuli, kuna hili jipu kubwa, nalo litumbue!
Rais John Pombe Magufuli.
LEO ni siku ya kwanza ya mwaka huu 2016, ikiwa ni zaidi ya takriban miezi miwili tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ulioiweka madarakani serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli.
Wananchi wa kada zote, wameweka imani yao kwa serikali mpya, wakiamini itaweza kutatua kero nyingi zilizokuwa zikiwakabili katika nyanja mbalimbali za maisha yao ya kila siku.
Hakika, karibu katika kila sekta, kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinakera, vinaudhi na hata...
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Tatizo la chakula ni kubwa Somalia
10 years ago
Habarileo26 Feb
‘Magonjwa ya macho ni tatizo kubwa’
WIZARA ya Afya imesema maradhi ya macho ni moja ya tatizo kubwa la afya ambalo limepewa kipaumbele na wizara hiyo ili kutoa matibabu kwa wananchi.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Tatizo la kupata haja kubwa
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Tatizo letu ni kubwa zaidi ya CCM
MTU aliye makini ataweza kutambua haraka kwamba tatizo letu ni kubwa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nami pia ninashawishika kufikiri kwamba tatizo si CCM, bali ni la Watanzania wote....