Mhe.Magufuli, kuna hili jipu kubwa, nalo litumbue!
Rais John Pombe Magufuli.
LEO ni siku ya kwanza ya mwaka huu 2016, ikiwa ni zaidi ya takriban miezi miwili tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ulioiweka madarakani serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli.
Wananchi wa kada zote, wameweka imani yao kwa serikali mpya, wakiamini itaweza kutatua kero nyingi zilizokuwa zikiwakabili katika nyanja mbalimbali za maisha yao ya kila siku.
Hakika, karibu katika kila sekta, kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinakera, vinaudhi na hata...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6t1WITtfnwQ/VVEcWM1uZ1I/AAAAAAADms4/OyPgAugP5Hg/s72-c/11169961_942060822492867_2422672688595369106_n.jpg)
9 years ago
Habarileo05 Dec
Magufuli atumbua jipu TFF
KASI ya utendaji wa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli imechukua sura mpya baada ya Mamlaka ya Kodi ya Mapato nchini (TRA) Mkoa wa Ilala kutia mguu Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). TRA imezuia fedha kwenye akaunti zote za TFF ikiwa ni madai ya kulipwa kodi inayofikia Sh bilioni 1.6 kuanzia mwaka 2010 hadi 2013.
10 years ago
GPL![](http://www.ikulu.go.tz/files/publications/photos/111111.jpg?width=650)
HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?
9 years ago
GPLSTELLA JOEL: HILI NI PIGO KUBWA KWANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E2q56SVxnZc5T46gQZVzZtTiIC-0d8mMJdzd3grrdbjBE-AnNp3yj-bSiNhKXVLZKAZaBazHLT-bSrzC47ussDv5MeXzx6A1/msosi.jpg)
KUNA TATIZO KUBWA KWENYE VYAKULA VYETU
9 years ago
VijimamboAIBU KUBWA: MGOMBEA URAIS AANGUA KILIO JUKWAANI,ANGALIA TUKIO HILI
Tukio hilo lilitokea katika mkutano wa hadhara wakati akifungua kampeni za chama hicho visiwani hapa.
Mgombea huyo alivuta hisia za wananchi na kila aliyekuwa akipita njia katika eneo hilo la kiwanja cha...
10 years ago
Vijimambo29 Apr
AK47 Hakuwepo Kushuhudia Tukio Hili Kubwa Kwa Watoto Mapacha Aliowaacha
![](http://api.ning.com/files/NpAlVAvTs3PDyMEsgk-zxfP8Wd-tZNQvyzGqJjl7awLdcBEICij4XVTsAx9nYMM0bfCScaCJn*l-pS8gwK6MWuYSd1p6ohor/ak47.jpg)
Watoto mapacha wa Emmannuel Mayanja Hummertone aka AK47 wamebatizwa.
Maggie Kiwesi na AK47 Emmanuel Mayanja walikuwa na watoto watatu wakiwemo mapacha wawili wameletwa kutoka nje ya nchi na kuletwa Uganda kwa ajili ya kubatizwa, Inasikitisha marehemu AK47 hakuwepo kushuhudia tukio hili kubwa kwa watoto wake.Watoto hao wamebatizwa siku “Kaka yake na AK47 Pallaso alipost picha kwenye ukurasa wa instagram picha yake na watoto hao na akaandika chini yake “Guess who got baptized today in the name...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Pamoja na takwimu kuonyesha uchumi wa Tanzania unakua, bado kuna pengo kubwa kati ya maskini na matajiri
10 years ago
Michuzi20 Aug