Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mh.Magufuli umeliona hili?

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fagio la Mwakyembe kule Uchukuzi, Sitta umeliona au…

Ni dhahiri kusema kuwa kufanya kazi na Rais Jakaya Kikwete na hasa ukiwa mmoja wa wasaidizi wake wa karibu kwa hakika ni mzigo mzito.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli, Mwakyembe tafuteni ufumbuzi wa hili

UJENZI wa barabara ya Morogoro kutoka Posta hadi Kimara ulipoanza, kila raia anayetumia njia hiyo ya kuingia na kutoka nje ya Jiji la Dar es Salaam alishukuru na kuipongeza sana...

 

10 years ago

GPL

HILI LA MAKUNDI CCM, MAGUFULI AMEMALIZA!

Mgombea urais wa Serikali ya awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli. WOTE tunatambua kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kuvuka moja kati ya vikwazo vikubwa na hatari zaidi kuwahi kutokea katika historia yake, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I7WLQ2 ...

 

9 years ago

Bongo5

Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli

Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.

20151210035203

Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.

Hili ndio Baraza la Magufuli:

1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo

2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...

 

5 years ago

Raia Mwema

Magufuli atakumbukwa kwa hili la makao makuu

MIAKA takriban 43 iliyopita chama kilichokuwa kinatawala Tanzania Bara kilichojulikana kama TANU

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

GPL

HILI LA MAWAZIRI, MILUZI ISIMPOTEZE RAIS MAGUFULI!

Rais John Pombe Magufuli. RAIS John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza Baraza lake la Mawaziri muda wowote kuanzia wiki ijayo, atakapokuwa ameshamtangaza Waziri Mkuu, kisha kuthibitishwa na Bunge mjini Dodoma. Mamilioni ya Watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kutangazwa kwa baraza hilo, kwani wanaamini ndiyo itakuwa mwanga wa kujua kama kweli, matumaini yao kwa rais huyu wa tano ni yenye kuleta matumaini au ni yaleyale ya kila...

 

9 years ago

Global Publishers

Mhe.Magufuli, kuna hili jipu kubwa, nalo litumbue!

raisiiRais John Pombe Magufuli.

LEO ni siku ya kwanza ya mwaka huu 2016, ikiwa ni zaidi ya takriban miezi miwili tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ulioiweka madarakani serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli.

Wananchi wa kada zote, wameweka imani yao kwa serikali mpya, wakiamini itaweza kutatua kero nyingi zilizokuwa zikiwakabili katika nyanja mbalimbali za maisha yao ya kila siku.

Hakika, karibu katika kila sekta, kulikuwa na vitu ambavyo vilikuwa vinakera, vinaudhi na hata...

 

9 years ago

Michuzi

HILI NDILO BALAA LA MAGUFULI KATIKA KAMPENI ZAKE MKOANI MBEYA LEO

 Nyomi la Watu katika mkutano wa kampeni. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Tunduma waliofurika kwa wingi katika uwanja wa shule ya msingi Tunduma,mkoa wa Mbeya mapema leo mchana,kwenye mkutano wa kampeni wa kuwaomba Watanzania ridhaa ya kuwaongoza katika kipindi cha awamu ya tano,ambapo uchaguzi unatarajiwa kufanyika Oktoba 25  mwaka huu. Maelfu ya Wananchi wa Tunduma waliojitokeza  kumsikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani