WAUZAJI WA VYAKULA KWENYE MIGAHAWA WATAKIWA KUZINGATIA USAFI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ynmr5FaZ8gA/Xk03ICBUxGI/AAAAAAALeU8/BLKkKG_plokgsk0XLt-6aMevDKEcAZ4AQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-39.jpg)
Mtengenezaji wa Juisi katika Mgahawa wa Henry, Wilayani Bukombe, akijieleza mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainab Chaula jinsi wanavyoandaa juisi hizo.
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akitoa pesa kuwanunulia juice wauzaji wa mgahawa huo.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akikagua usafi kwenye mgahawa huo.
Wauzaji wa mgahawa wakikinga juice waliyonunuliwa na katibu mkuu Dkt. Chaula....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Coronavirus: Wachina washauriwa kuzingatia usafi
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
10 years ago
Vijimambo23 Jun
TANZANIAN RESTAURANT - LUNCH BY CHEF ISSA IMETAJWA KWENYE ORODHA YA MIGAHAWA BORA KATIKA MIJI YA TROLLHÄTTAN NA VÄNERSBORG
![IMG-20150616-WA0008](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150616-WA0008.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Tanzanian Restaurant — Lunch by Chef Issa imetajwa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji ya Trollhättan na Vänersborg
Jarida la Wizara ya Maliasili Makumbusho na Utalii katika mji wa Trollhättan na Vänersborg limeijumuisha Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kwenye orodha ya migahawa bora katika miji hiyo miwili ni jambo la kujivunia hasa mafanikio haya ndani ya miezi miwili tangu kufunguliwa
Jarida la makala ya biashara na uwekezaji la Fokus Väst la mji wa Trollhättan Sweden limethibitisha rasmi nakujivunia Tanzanian Restaurant – Lunch by chef Issa kua ni mgahawa halisi wa kiafrika mkubwa kuliko...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CNV8H_qNsos/XlKbXmWYVFI/AAAAAAALe7E/wKYLpZhKNQgaN-5faV6NC7hHTBw-67yZACLcBGAsYHQ/s72-c/3ba8b1f5-4f7d-4569-8486-99f701e39935.jpg)
Wazalishaji watakiwa kuzingatia viwango
WAZALISHAJI wa bidhaa mbalimbali mkoani Singida wametakiwa kutambua kuwa suala la viwango ni la kisheria hivyo ni lazima kuthibitisha ubora wa bidhaa ili kumlinda mlaji na kupata uhakika wa soko la bidhaa wanazozizalisha.
Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akifungua mafunzo ya wazalishaji wa bidhaa za vyakula yakiwemo mafuta ya alizeti na wauzaji wa vipodozi na vyakula yaliyofanyika katika ukumbi wa...
9 years ago
MichuziWAKAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
Habarileo05 Feb
Watumishi wa mahakama watakiwa kuzingatia haki
MAHAKIMU na watumishi wa Mahakama katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara wamehimizwa kuzingatia maadili na weledi katika kazi ili kurejesha imani kwa wananchi kuwa mahakama ipo pale kutafasiri sheria na kutoa haki kwa watu wote.
9 years ago
Habarileo23 Sep
Iringa watakiwa kuzingatia lishe bora
WAKAZI wa mkoa wa Iringa wametakiwa kushiriki vita dhidi ya utapiamlo, udumavu na upungufu wa damu kwa watoto, kwa kuwapa lishe bora.
9 years ago
StarTV01 Oct
Waratibu, wasimamizi watakiwa kuzingatia sheria
Waratibu, wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao katika majimbo mbalimbali nchini wametakiwa kuhakikisha wanazifahamu vyema sheria, kanuni na taratibu zinazotawala mchakato huo na kuzizingatia ipasavyo wakati wote wa utekekelezaji wa majukumu waliyopewa.
Lengo ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu ujao unakuwa huru na haki kwa kusimamia vyema zoezi la upigaji kura, kuhesabu, kujumlisha na kutangaza matokeo ili kudumisha amani na utulivu uliopo.
Zikiwa zimebaki siku 24 kabla ya kufanyika kwa...