Coronavirus: Wachina washauriwa kuzingatia usafi
China inajaribu kudhibiti maambukizi wa virusi vya corona katika mkoa wa Hubei huku idadi ya waliofariki kutokana na virusi hiyvo vinavyosababisha maradhi ya mapafu ikiendelea kuongezeka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Nov
Washauriwa kuzingatia matumizi ya mikataba
WABUNGE na madiwani wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya mikataba mbalimbali kwa mujibu wa taratibu na makusudi, ambayo yanalenga kuboresha maslahi ya halmashauri.
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Watanzania washauriwa kuzingatia Afya bora ya Moyo
Ikiwa zimepita siku tatu toka kuhadhimishwa siku ya Moyo duniani mwaka huu, Watanzania wameshauriwa kufanya maamuzi binafsi katika kujali afya ya moyo. Kauli mbiu ya Siku ya Moyo duniani mwaka 2015 inahusu kuchagua afya bora ya moyo kwa kila mtu na kila mahali. Pia inalenga kuonyesha matokeo ambayo mazingira yetu yanaweza kuleta juu ya uwezo wetu wa kufanya maamuzi bora kwa ajili afya bora kwa moyo wa binaadamu. Pia siku hiyo inatumika kuelimisha jinsi ambavyo mazingira tunayoishi yanaweza...
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanahabari washauriwa kuzingatia sheria, na kanuni za uandikaji habari za bunge
Waandishi wa habari nchini wameshauriwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za uendeshwaji wa Bunge wakati wa kutoa habari zinazohusu Bunge kwa kuripoti habari zenye kuwagusa wananchi moja kwa moja kwa manufaa ya Watanzania .
Ushauri huo umetolewa na waandishi habari waandamizi ambao wamewataka waandishi kuacha kuandika habari kwa ushabiki usiokuwa na tija kwa wananchi bali kuzingatia miiko ya taaluma hiyo.
Wakati wabunge wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wakiendelea na Usajili...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wananchi waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya wa Manispaa ya Temeke Bw.Willium Muhemu akifafanua kwa waandishi wa habari mafanikio yaliyofikiwa na Manispaa hiyo katika kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi pamoja na watu wote wanaochafua mazingira,Kulia ni Afisa Uhusiano wa Manispa hiyo Bi. Joyce Nsumba.(Picha zote na FRANK MVUNGI-maelezo).
Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Bw.Ernest Mamuya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)kuhusu hatua...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ynmr5FaZ8gA/Xk03ICBUxGI/AAAAAAALeU8/BLKkKG_plokgsk0XLt-6aMevDKEcAZ4AQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-39.jpg)
WAUZAJI WA VYAKULA KWENYE MIGAHAWA WATAKIWA KUZINGATIA USAFI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ynmr5FaZ8gA/Xk03ICBUxGI/AAAAAAALeU8/BLKkKG_plokgsk0XLt-6aMevDKEcAZ4AQCLcBGAsYHQ/s640/1-39.jpg)
Mtengenezaji wa Juisi katika Mgahawa wa Henry, Wilayani Bukombe, akijieleza mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Zainab Chaula jinsi wanavyoandaa juisi hizo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/index-4.jpg)
Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akitoa pesa kuwanunulia juice wauzaji wa mgahawa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-4.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akikagua usafi kwenye mgahawa huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/v.jpg)
Wauzaji wa mgahawa wakikinga juice waliyonunuliwa na katibu mkuu Dkt. Chaula....
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Coronavirus: 'Unyanyapaa' ulivyochochea chuki dhidi ya Wachina nchini Kenya
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Coronavirus: Jinsi ugonjwa ulivyothibitisha chuki dhidi ya Wachina ama Sinophobia
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Coronavirus: Watanzania walio nje washauriwa kurejea nyumbani kabla ya Jumamosi